HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,361
- 94,539
Nataka kuroot simu yangu ili niwe super user kwenye s3 yangu maana nataka edit power management sababu s3 yangu inakata sana battery
haya ndio nataka uliza
Je nikirooot simu yangu security ya simu itaondoka?
Je nikiroot simu yangu nini athari nyingine za hii simu?
haya ndio nataka uliza
Je nikirooot simu yangu security ya simu itaondoka?
Je nikiroot simu yangu nini athari nyingine za hii simu?