Bado ni mapema sana,lakini hata hivyo simu imekuja kinyume na matarajio ya wengi.
Samsung wamekuwa vinara kwa miaka mingi kutoa simu zenye features mpya kila toleo,lakini mwaka huu mabadiriko ni kidogo sana,kuanzia muonekano ultra model ni kama 22 ultra ya mwaka jana kabisa,atleast kuna 23 plus mpya,na 23 plain ambayo iko tofauti kidogo ktk camera na toleo lililopita 22.
Ingawa battery ni sawa kwa ultra models,lakini chip mpya imeonyesha ulaji mdogo wa umeme ukilinganisha na toleo lililopita,kuna nyongeza ya saa zima na zaidi kwa ukaaji wa charge.