Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,432
T.v aina ya samsung flat screen mpya kwenye box lake( brand new ) yenye ukubwa wa inch 32 quality ya LED inauzwa bei 565,000 mwenye kuhtaj apige simu na. 0714061310 zimebaki mbili tu.
Kumbuka hyo ni brand new unafungua mwenyewe kwenye boksi lake tena ni led bora hata ingekuwa lcd kwa bei hyo huwez kupata.Kaka mi nina laki nne taslim kama utanifikiria na mimi nisaule majicho
Kumbuka hyo ni brand new unafungua mwenyewe kwenye boksi lake tena ni led bora hata ingekuwa lcd kwa bei hyo huwez kupata.
Naomba kuuliza kuwa Kati ya SUMSUNG LED 32 LG 32 ipi bora na gharama interm of price nA Je led 32 hiyo waiuza wapi??