Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Ndo hamsini hiyo!Fisi ndo nini!
Ndo hamsini hiyo!Fisi ndo nini!
Basi kula mbawa mkuu50 nayo ni pesa ila kwangu sio hitaji.
Hayo manenotu!!Simu za Grand prime za hovyo sana. Niitumia miezi 3 shida kuu IPO kwenye storage. Zikibaki Mb 300 kushuka inasema sim iko full na siwez kuangalia picha au. Video
Nami naweka tangazo langu doogo kaka, kwa Ruhusa yakoSamsung galaxy grand prime plus
Bei sawa na bure.
200k net.
Ni pm tuzungumze.View attachment 894873View attachment 894874
Tubadilishane nakupa Tecno W3 ikiwa na charge chini ya asilimia 80 inazima na ina stuck kama foleni ya Dar.

Wewe achana na hao wapiga tarimba, biashara yeyote vikwazo haikosi. Mtu anakutana na maneno mabovu kuuza mzigo wa milioni ndo sembuse hiko. Yote vumilia tuWaje pm tutaongea ila wasibwabwaje huku kweny platform!
Kwani anaiuza Tsh ngapi 2
Boss sitaki kuamin mtu mzito kama ww hukuweza nunua memory cardSimu za Grand prime za hovyo sana. Niitumia miezi 3 shida kuu IPO kwenye storage. Zikibaki Mb 300 kushuka inasema sim iko full na siwez kuangalia picha au. Video
Hahaaaa mkuu sins Tania ya kutumia memory card.. Sikua na wazo hilo kabisaBoss sitaki kuamin mtu mzito kama ww hukuweza nunua memory card
Nilimwambia kwa hizi bei zake hauzi,maana mpya dukani ni 250,000 tuu.Kahangaika mno humu toka juzi hainunuliwi