Samsung grand ipo sokoni

Samsung grand ipo sokoni

M BABA

Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
44
Reaction score
8
Samsung galaxy grand prime plus
Bei sawa na bure.
200k net.
Ni pm tuzungumze.
IMG_20181010_133712.jpeg
IMG_20181010_133644.jpeg
 
unaa boksi lake,risiti yakeEFD ya duka ulilonunulia na any related isije ikawa ni ya hawa waliopotea nikawa sehemu yaa ushahidi
kama vipo Kula fisi tufunge duka
Fisi ndo nini!
 
unaa boksi lake,risiti yakeEFD ya duka ulilonunulia na any related isije ikawa ni ya hawa waliopotea nikawa sehemu yaa ushahidi
kama vipo Kula fisi tufunge duka
Kila kitu kipo na nitakupa kama ukitaka hilo wala usihofu.
 
unaa boksi lake,risiti yakeEFD ya duka ulilonunulia na any related isije ikawa ni ya hawa waliopotea nikawa sehemu yaa ushahidi
kama vipo Kula fisi tufunge duka
Kaz kwako!
Ubishi staki!
20181006_161314.jpeg
1538824907114.jpeg
 
WA BONGO BANA UTASHANGAA SIKU SIMU IKISHA UZIKA NDIO WANAANZA KUKUSUMBUA""ile simu bado ipo"" ULIILOGA ISINUNULIWE?
 
NAMBA HII PIA UNAMPATA
CAPT. MWENYE SIMU
TAJWA
0767101826
Bado iko kwenye friji haiozi.
 
unaa boksi lake,risiti yakeEFD ya duka ulilonunulia na any related isije ikawa ni ya hawa waliopotea nikawa sehemu yaa ushahidi
kama vipo Kula fisi tufunge duka
Ha ha ha umenikumbusha mbali na kiswahili cha fisi...eti kula fisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom