Samsung galaxy s7 inauzwa...

black chinese

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
1,148
Reaction score
1,229
Simu tajwa hapo juu, used in good condition, inauzwa kwa discount ya zaidi ya tshs. 800k..
Niliinunua Mlimani city mwezi wa tisa mwaka jana kwa tshs. 1750,000 na naiuza kwa 780k..
Ni water and dust resistance... kwa waliosoma shule za kayumba namaanisha unaweza kuogelea nayo bila kuharibika.

Kwa wanaozielewa s7 tuwasiliane kwa 0687 089980... kwa picha na biashara.
Ram 4ghz.
Internal 32gb.
Ina support 4g.
Battery 3000mAh.
Camera noma.
Ina sehemu ya memory card wakati s6 haina.
 


Kaka naitaka ile pesa yangu haijafika huko
0786371108 nitafute hapa nikupe ofa yangu kama itakutekenya maskio
 
Simu bomuu sana hizo..kama unachukua laki 3 ni pm tufanye biashara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…