brandnew samsung galaxy s4 kwa bei ya sh. 700,000...original sio feki wala mkorea nicheki kwa 0717 022737
brandnew samsung galaxy s4 kwa bei ya sh. 700,000...original sio feki wala mkorea nicheki kwa 0717 022737
Hapo unamaanisha nini, maana Samsung ni kampuni la mkorea na makao yake makuu ni korea kusini soma hapa Samsung - Wikipedia, the free encyclopediabrandnew samsung galaxy s4 kwa bei ya sh. 700,000...original sio feki wala mkorea nicheki kwa 0717 022737
Hapo unamaanisha nini, maana Samsung ni kampuni la mkorea na makao yake makuu ni korea kusini soma hapa Samsung - Wikipedia, the free encyclopedia
Hapo unamaanisha nini, maana Samsung ni kampuni la mkorea na makao yake makuu ni korea kusini soma hapa Samsung - Wikipedia, the free encyclopedia
Mkuu sikuwa na tatizo la nchi gani samsung imetengezwa maana wana viwanda sehemu nyingi duniani hata ukiingia kwenye main website ya samsung itaku link kwenye websites za samsung kwa nchi tofauti tofauti, ila nilikuwa namkosoa kusema kuwa ni original sio feki wala Mkorea wakati Mkorea ni mwenye kampuni mama, ni sawa na kusema hii I phone sio ya Mmarekani, au HTC sio ya Taiwan wakati wao ndio wamailiki wa kampuni Mama na ndio waanzilishiMbona ya kwangu ni org na niya vetinam,
Na yarafiki yangu ni by samsung na iko poa, inamaana tumepigwa za shingo? nijuavyo mimi ni kwamba samsung org ni za korea lakini samsung galaxy org niza vetinam.
Mkuu sikuwa na tatizo la nchi gani samsung imetengezwa maana wana viwanda sehemu nyingi duniani hata ukiingia kwenye main website ya samsung itaku link kwenye websites za samsung kwa nchi tofauti tofauti, ila nilikuwa namkosoa kusema kuwa ni original sio feki wala Mkorea wakati Mkorea ni mwenye kampuni mama, ni sawa na kusema hii I phone sio ya Mmarekani, au HTC sio ya Taiwan wakati wao ndio wamailiki wa kampuni Mama na ndio waanzilishi
brandnew samsung galaxy s4 kwa bei ya sh. 700,000...original sio feki wala mkorea nicheki kwa 0717 022737