Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,434
mzigo ushaisha tayari thanks kwa wote
Hizo ni from from china waambie watu bana,wadau angalie link hii below kabla ya kununua ili ujue the ufanya maamuzi sahihi..
https://www.youtube.com/watch?v=VKxbBBtvAdY
Original na Clone tofauti yake ni kubwa sana...Hv original na clone tofaut zake nn na je clone. Inakubali wasapu?
Original na Clone tofauti yake ni kubwa sana...
mfano:
1. Camera ya Original S4 ni megapixel 13 wakati clone wameandika 13MP ila inatumia Video Graphics Array ~ 0.3 megapixels!!
2. Applications za S4 zinatoka Playstore na ni Original Android Apps mfano 'Whatsapp", Clone inakubali baadhi ya Java Applications lakini 'Whatsapp' haitokubali sababu haipo kwenye Platform zinazoSupport Whatsapp!!
3. Internal Memory ya S4 inaanza 16GB, 32GB mpaka 64GB wakati Clone inakuwa majority na KB's (Kilobytes)..
4. Screen ya S4 Original ina Resolution kubwa ya HD 1080 x 1920 wakati clone 480 x 840 pixels..
5. S4 Original inatumia Bluetooth 4.0 wakati clone Bluetooth 2.0
6. Clone haina TV Out
7. Clone Haina NFC
8. Clone RAM yake 512 MB wakati Original 2GB
9. Clone inalimit Phonebook 500 entries wakati Original hailimit..
10. ukiConnect Clone kwenye computer haitasomwa na Samsung Kies, kama ina memory card ndani itasomwa kama Flash Disk!! etc....................
Conclusion: 'Honestly' Simu yoyote Clone ni mfano wa simu ya kawaida tu ya kupiga na kupokea, haitakuwa kama smartphone unayoitaka iwe!!
Hizo ni from from china waambie watu bana,wadau angalie link hii below kabla ya kununua ili ujue the ufanya maamuzi sahihi..
https://www.youtube.com/watch?v=VKxbBBtvAdY
Original na Clone tofauti yake ni kubwa sana...
mfano:
1. Camera ya Original S4 ni megapixel 13 wakati clone wameandika 13MP ila inatumia Video Graphics Array ~ 0.3 megapixels!!
2. Applications za S4 zinatoka Playstore na ni Original Android Apps mfano 'Whatsapp", Clone inakubali baadhi ya Java Applications lakini 'Whatsapp' haitokubali sababu haipo kwenye Platform zinazoSupport Whatsapp!!
3. Internal Memory ya S4 inaanza 16GB, 32GB mpaka 64GB wakati Clone inakuwa majority na KB's (Kilobytes)..
4. Screen ya S4 Original ina Resolution kubwa ya HD 1080 x 1920 wakati clone 480 x 840 pixels..
5. S4 Original inatumia Bluetooth 4.0 wakati clone Bluetooth 2.0
6. Clone haina TV Out
7. Clone Haina NFC
8. Clone RAM yake 512 MB wakati Original 2GB
9. Clone inalimit Phonebook 500 entries wakati Original hailimit..
10. ukiConnect Clone kwenye computer haitasomwa na Samsung Kies, kama ina memory card ndani itasomwa kama Flash Disk!! etc....................
Conclusion: 'Honestly' Simu yoyote Clone ni mfano wa simu ya kawaida tu ya kupiga na kupokea, haitakuwa kama smartphone unayoitaka iwe!!
kwani atakayeenda kuinunua si atalogin Google account yake aone kama inakuwa recognised kwenye database ya android na atajaribu kudownload hizo program kama inafaa kama haikubali amrudishie muuzaji au akubali kulamba hasara. mi navyojua simu zote fake 'counterfeit' phones zimekuwa banned kwenye nchi nyingi dunia ikiwemo Kenya, India, Usa etc. huku kwetu zinaingia tu sababu wizara hazijishughulishi. Ila kwa hiyo bei 380k ukilinganisha na bei ya Original dukani 1.1mil nadhani itakuwa imemiss vitu kibao au vingine vya uwongo.Screen ni hd
Internal memory 16gb
Vitu vyote kutoka playstore navipata kama kawaida, whatsapp, viber, tango na kila kitu navipata.
Internet yake ni 3g na inakimbiza mbaya.
Wadau nunueni tu hizo clone kutoka kwa Mndengereko mtaenjoy
liar 100% acha kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo.Original na Clone tofauti yake ni kubwa sana...
mfano:
1. Camera ya Original S4 ni megapixel 13 wakati clone wameandika 13MP ila inatumia Video Graphics Array ~ 0.3 megapixels!!
2. Applications za S4 zinatoka Playstore na ni Original Android Apps mfano 'Whatsapp", Clone inakubali baadhi ya Java Applications lakini 'Whatsapp' haitokubali sababu haipo kwenye Platform zinazoSupport Whatsapp!!
3. Internal Memory ya S4 inaanza 16GB, 32GB mpaka 64GB wakati Clone inakuwa majority na KB's (Kilobytes)..
4. Screen ya S4 Original ina Resolution kubwa ya HD 1080 x 1920 wakati clone 480 x 840 pixels..
5. S4 Original inatumia Bluetooth 4.0 wakati clone Bluetooth 2.0
6. Clone haina TV Out
7. Clone Haina NFC
8. Clone RAM yake 512 MB wakati Original 2GB
9. Clone inalimit Phonebook 500 entries wakati Original hailimit..
10. ukiConnect Clone kwenye computer haitasomwa na Samsung Kies, kama ina memory card ndani itasomwa kama Flash Disk!! etc....................
Conclusion: 'Honestly' Simu yoyote Clone ni mfano wa simu ya kawaida tu ya kupiga na kupokea, haitakuwa kama smartphone unayoitaka iwe!!
liar 100% acha kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo.
Original na Clone tofauti yake ni kubwa sana...
mfano:
1. Camera ya Original S4 ni megapixel 13 wakati clone wameandika 13MP ila inatumia Video Graphics Array ~ 0.3 megapixels!!
2. Applications za S4 zinatoka Playstore na ni Original Android Apps mfano 'Whatsapp", Clone inakubali baadhi ya Java Applications lakini 'Whatsapp' haitokubali sababu haipo kwenye Platform zinazoSupport Whatsapp!!
3. Internal Memory ya S4 inaanza 16GB, 32GB mpaka 64GB wakati Clone inakuwa majority na KB's (Kilobytes)..
4. Screen ya S4 Original ina Resolution kubwa ya HD 1080 x 1920 wakati clone 480 x 840 pixels..
5. S4 Original inatumia Bluetooth 4.0 wakati clone Bluetooth 2.0
6. Clone haina TV Out
7. Clone Haina NFC
8. Clone RAM yake 512 MB wakati Original 2GB
9. Clone inalimit Phonebook 500 entries wakati Original hailimit..
10. ukiConnect Clone kwenye computer haitasomwa na Samsung Kies, kama ina memory card ndani itasomwa kama Flash Disk!! etc....................
Conclusion: 'Honestly' Simu yoyote Clone ni mfano wa simu ya kawaida tu ya kupiga na kupokea, haitakuwa kama smartphone unayoitaka iwe!!
mkuu bei nimeweweka kwenye maelezo ya thread,ila kwa faida yako na member wengine bei yake ni 380,000 maelewano yapo nicheki kwa 0714061310 kama unahitaji mzigoWeka Bei mkuu nimnunulie mpenzi wangu akanipe mzigo maana ananisumbuasumbua sana ila hapa ntajimegea kiulaini na mabusu kibao.
mkuu bei nimeweweka kwenye maelezo ya thread,ila kwa faida yako na member wengine bei yake ni 380,000 maelewano yapo nicheki kwa 0714061310 kama unahitaji mzigo
zinazo mkuu zinafanya kazi bila ya shidaZina Air Gesture mkuu?