Samsung galaxy s2 inauzwa

Samsung galaxy s2 inauzwa

mchagahalisi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
619
Reaction score
362
Habari zenu wana jf
Samsung galaxy s2 used ipo kwenye hali nzuri inauzwa bei laki 5.5
 
Jamii Forum inakuwa gulio. Wamachinga wameacha tindo wa zamani wa kutembeza bidhaa na ssa wame"digitize" mfumo wao wa biashara. hongera
 
Jamii Forum inakuwa gulio. Wamachinga wameacha tindo wa zamani wa kutembeza bidhaa na ssa wame"digitize" mfumo wao wa biashara. hongera

kwa io unamaanisha alieweka tangazo. kwenye hii thread ni mmachinga?
 
Hiyo hapo
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1359466640232.jpg
    uploadfromtaptalk1359466640232.jpg
    13.1 KB · Views: 205
  • uploadfromtaptalk1359466653048.jpg
    uploadfromtaptalk1359466653048.jpg
    28.5 KB · Views: 172
S2 bwana tatizo battery
Haziweki charger in long run!!
Tena ukiwa ume set vibration ON! Babaa tembea na chaja apo
 
S2 bwana tatizo battery
Hazikai na charge in long run!!
Tena ukiwa ume set vibration ON! Babaa tembea na chaja apo
 
wewe ni mzungu??acha ku google bwana embu tuwekee picha halisi tufike bei..

'sasa huo si mkono tu aisee kwani hakuna mchaga mwenye ngozi nyeupe kama hiyo ndugu'
 
Nimeipenda ila bei punguza, nikupe laki 3.5
 
'sasa huo si mkono tu aisee kwani hakuna mchaga mwenye ngozi nyeupe kama hiyo ndugu'

the point is tunataka kuona uhalisia wa bizaa...picha za google ni kupotezeana mda mtu atajua ndio mali halisi mnaanza kutafutana unakuta sio yenyewe na ina kasoro,,ingekua mali ni mpya hapo sawa unaweza kutumia picha za google kama sample,muhimu ni condition ya mali husika.
 
S2 bwana tatizo battery
Hazikai na charge in long run!!
Tena ukiwa ume set vibration ON! Babaa tembea na chaja apo
babaake, instal apk inaitwa Juice Defender, halafu lete matokeo baada ya siku mbili tatu.
 
S2 bwana tatizo battery
Hazikai na charge in long run!!
Tena ukiwa ume set vibration ON! Babaa tembea na chaja apo

YAANI kama ulikuwa kichwani mwangu, mi nimenunua last week simu haikai na charge hivi ni kwanini? ni galaxy zote ama ni vipi, ningejua ningefanya research kwanza afadhali blackberry mhh
 
Tatzo la chaji nadhan itakuwa network ya 3G...inakula charge sana!
 
Halafu baada ya muda kidogo charging system inakufa. Sio kwangu tu na wengine wanapata hilo tatizo. Yangu naiuza hata kwa laki 3!
 
Halafu baada ya muda kidogo charging system inakufa. Sio kwangu tu na wengine wanapata hilo tatizo. Yangu naiuza hata kwa laki 3!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom