Samsung galaxy s2 inauzwa

Samsung galaxy s2 inauzwa

S2 bwana tatizo battery
Haziweki charger in long run!!
Tena ukiwa ume set vibration ON! Babaa tembea na chaja apo
Aisee kiongozi issui ya charge ni janga la kitaifa kwanza linachangiwa na network unstable (especialy internet) ukiweka off internet charge inakaa muda mrefu, lakini 99% ya smartphone zote charge ni issue otherwise kama unataka simu ya kukaa na charge siku saba inabidi urudi kwenye simu za tochi uachane na smartphone. Kama unailaumu Samsung Galaxy S2, utaziweza HTC, iphone na Blackberry ambazo ni smartphone, charge hazikai kwa sababu ya application kuwa nyingi sana!
Nina simu ambayo sio smartphone ina kaa na charge 14 days kama vipi ni PM ila ni kupiga cmu na sm tu.
 
S2 bwana tatizo battery
Haziweki charger in long run!!
Tena ukiwa ume set vibration ON! Babaa tembea na chaja apo

Matuizi yako ndio yanayomaliza battrey.hebu icharge halafu usiitumie uone itakaa muda gani.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
YAANI kama ulikuwa kichwani mwangu, mi nimenunua last week simu haikai na charge hivi ni kwanini? ni galaxy zote ama ni vipi, ningejua ningefanya research kwanza afadhali blackberry mhh

Kwa ufupi galaxy zote ndivyo zilivyo,lkn wanakuanfikia kabisa ktk mfumo wa charge ukisoma utaona muda gani ukiiwacha net on inamalizika,ila ukweli khs charger system zinakuga haraka pamoja na galaxy note 1,hazikuchomewa direct ni za kuchomeka tu na ndio maana zinaungua haraka.


Send by Samsung Galaxy Note
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom