SAMSUNG GALAXY NOTE 8

SAMSUNG GALAXY NOTE 8

CTX

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
1,273
Reaction score
986
samsung galaxy note 8.jpg


Jiandaeni kutoboa mifuko,hichi kitu kinatoka kati ya septemba au agosti mwaka huu ,,na inasemekana itakua ya gharama sana kuliko matoleo mengine ambayo samsung wametoa ikiwamo samsung galaxy note 7 ambayo ilikua ikiuzwa kwa USD 700 sawa na sh 1,400,000 . Hii galaxy note 8 inacheza kwenye USD 1,120 sawa na shilingi za kitanzania 2,497,600/-,,duuuuuh!!!.

hizi ndo sifa zake na unaambiwa hizi ni baadhi ya sifa zake muhimu;

The VentureBeat report also mentions the 6.3-inch AMOLED screen with an 18.5:9 aspect ratio, 6GB of RAM, and a camera that features two 12-megapixel lenses. The S Pen stylus will again be included to help distinguish the Note 8 from the 6.2-inch Samsung Galaxy S8 Plus, launched earlier this year.

According to Blass' sources, the Note 8 will have a fingerprint sensor around the back of the device, like the S8 phones, and will be available in black, blue, and gold at launch.

kazi kwenu!!
 

Attachments

  • samsung galaxy note 8.jpg
    samsung galaxy note 8.jpg
    21.7 KB · Views: 61
  • samsung galaxy note 8.jpg
    samsung galaxy note 8.jpg
    21.7 KB · Views: 94

Similar Discussions

Back
Top Bottom