bado kama mpyaa kabisa haina mchubuko wowote haina tatizo lolote, nimeitumia mwezi mmoja tu, sababu ya kuuza nina hitaji laki nane ya haraka. bei sishushi nipo Dar Africana
naiuza mwisho laki 8, ni nyeusi nzuri kabisa ina 32gb na ni original bila dosari, kama upo serious nipm, siiuzi kwa faida nna uhitaji tu wa laki 8 hiyo ya haraka
chukua laki 7 mkuu
siku hizi watu hawanunui cm za gharama kama hizo.watu wanakomaa na Techno kwa kuwa zote.pamoja na ya kwako
zina application sawa.sasa yanini kugharamika?kawauzie wabunge
siku hizi watu hawanunui cm za gharama kama hizo.watu wanakomaa na Techno kwa kuwa zote.pamoja na ya kwako
zina application sawa.sasa yanini kugharamika?kawauzie wabunge