TayariNimeona news kuhusu one UI 2.5 rollout kwa galaxy A50 ni December ,je Kuna mtu yeyote simu yake imepata hiyo update?
nimeona mahali april mwakani itapokea android 11
Ndionimeona mahali april mwakani itapokea android 11
Display zao ni high quality na pia A50 ina OLED na sio LCD kwahyo gharama yake kubwa zaidi. Huwezi linganisha na Tecno.samsung nao kwenye vioo ni tabu, A50 yangu inataka 250,000/= ya screen replacement
Unaiuza kama spare hiyo simu?samsung nao kwenye vioo ni tabu, A50 yangu inataka 250,000/= ya screen replacement
samsung nao kwenye vioo ni tabu, A50 yangu inataka 250,000/= ya screen replacement
hivi hizo liquid sio majanga jamanYangu nliweka screen ya kumimina huwa inadondoka balaa ila haijapasuka.



mimi nilidondosha kwenye maji yakaingilia kwenye speakerYangu nliweka screen ya kumimina huwa inadondoka balaa ila haijapasuka.
Hata mimi naisubiri kwa hamu.Hadi wa leo simu yangu bado haijapata update ya one UI 2.5 nipo kenya
Tatzo region za Africa na US wanachelewesha sana updates. Model za region za Europe na UAE ndio wanawahishiwa updates. Mm nilikua na model ya region ya Poland (XEO) na updates zilikua zinakuja mapema sana. Regiom ya India pia huwa wanawahi kdgo ila sio sana. Model za Europe, UAE na US zina NFC lakini zingine zote hazinaHata mimi naisubiri kwa hamu.
Ukitumia vpn ku fake location inaweza kusaidia?Tatzo region za Africa na US wanachelewesha sana updates. Model za region za Europe na UAE ndio wanawahishiwa updates. Mm nilikua na model ya region ya Poland (XEO) na updates zilikua zinakuja mapema sana. Regiom ya India pia huwa wanawahi kdgo ila sio sana. Model za Europe, UAE na US zina NFC lakini zingine zote hazina
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
No. Kila simu ya samsung ina kitu kinaitwa CSC (Consumer Software Customization or Country Specific Code). Hii csc code ndio inadetermine region ya simu yako kwasababu kuna baadhi ya simu zinawekewa software features ambazo hazipo kwenye region yako.Ukitumia vpn ku fake location inaweza kusaidia?
Tatzo region za Africa na US wanachelewesha sana updates. Model za region za Europe na UAE ndio wanawahishiwa updates. Mm nilikua na model ya region ya Poland (XEO) na updates zilikua zinakuja mapema sana. Regiom ya India pia huwa wanawahi kdgo ila sio sana. Model za Europe, UAE na US zina NFC lakini zingine zote hazina
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app