Samsung Galaxy A series kwa chaji tu hapa mmeweza

Samsung Galaxy A series kwa chaji tu hapa mmeweza

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,695
Reaction score
13,324
Kwenye box naona hizi series made by samsung in vietnam, manufacture wa hizi battery za A series sijui ni nani but kipindi cha nyuma kulikuwa na mfumo wa mtu kutumia simu mbili sababu tach hazikai na chaji, yaani unakuta mtu mfukoni anatembea na power bank mda wote.

Lakini hizi A series hasa matoleo yenye 5000MH battery power , samsung hapa wamecheza kama pele.
 
Ni kweli kabisa mkuu mimi nina ki samsung changu A70 kinakaaa na charge hadi naogopa.
 
Back
Top Bottom