Hizi TV zina sehemu ya kuweka card kama decoder mbalimbali.Je card zake zinapatikana wapi na ukipata card yake unaweza itumia bila decoder ama kuitumia kwa Antenna ama dish 6 inches??
Na pia mikoani let say Dodoma unaweza weka antenna peke yake ukashika channels za local kama ukiwa mjini Dar??