Samsung A7 -can't install Google services

Arsenalist1

Senior Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
163
Reaction score
50
Habari za jioni wadau....kuna sim mpya imenunuliwa Hong Kong imekuja mpya kabisa lakini haina Google services, aplication zone zilizobaki zinakubali apart from application za Google services... (Gmail, play store,.... )..naomba msaada wenu
 
Habari za jioni wadau....kuna sim mpya imenunuliwa Hong Kong imekuja mpya kabisa lakini haina Google services, aplication zone zilizobaki zinakubali apart from application za Google services... (Gmail, play store,.... )..naomba msaada wenu
Nenda Google andika hivi, "download Google installer apk" then uta search ukiipata hiyo apk install then fuata maelekezo
 
Nenda Google andika hivi, "download Google installer apk" then uta search ukiipata hiyo apk install then fuata maelekezo
Nilijaribu, haikubali..inandika not compatible
 
Habari za jioni wadau....kuna sim mpya imenunuliwa Hong Kong imekuja mpya kabisa lakini haina Google services, aplication zone zilizobaki zinakubali apart from application za Google services... (Gmail, play store,.... )..naomba msaada wenu
Kama hizo option zote zinagoma flash new rom tu.
 
Msaada bado nasubiri
Bro hapo nishida..
Fanya kujaribu kitu kimoja japo ni risk,download global firmware kisha flash humo ,ikikubali hapo flesh ikigoma itabid uangalie kama kuna custom rom uweke
 
Bro hapo nishida..
Fanya kujaribu kitu kimoja japo ni risk,download global firmware kisha flash humo ,ikikubali hapo flesh ikigoma itabid uangalie kama kuna custom rom uweke
Sawa nitaangalia
 
Msaada simu yangu Samsung note 2 imefungiwa naitumia kwa internet pekee kwa laini ya halotel.. ila siwezi kupiga inaandika emergency calls only.. kwa mitandao mingine.. msaada plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…