You are Wrong again!!! aaaahhhh!!!
Kwa Mujibu wa Kindimbajuu na kwa mujibu wa Big, soma hapo chini
ni hivi, hao wafanyakazi wa hapo wanapewa nafasi ya kununua vitu kwa punguzo zaidi ya 50%, lakini mshahara wao ni mdogo sana , hawawezi kununua. sasa wanachokifanya wanaposema wanakutolea kwa laki nne na nusu,wananunua kama wao, ni kuwa wanatoa na risiti, ambayo huyo anaekutokea ndo hupewa jina lake- ni kama yeye ndo ananunua, hivyo anapata hiyo punguzo. ni shida zina wafanya wafanye hivyo, kwani wao posho zao ni kama yangu - mambo ya kibakuli