Samia Suluhu Hassan

Samia Suluhu Hassan

Duh! we uko faster yani nimeiona sasa hiv ITV, Na sasa hv ushaipost..... hakika unafaa kuwa journalist
 
Prince am a journalist by proffesion thnx by the way
 
Katibu mkuu sio leo ball baada ya miaka miwili watafanya uchaguzi ndio atakabidhiwa uenyekiti Magufuli hapo atateua sekretriet mpya yake ya ccm na hapo atateua Katibu mkuu mpya ikiwa kinana hata kuwa radhi kuendelea basi atawajibika kutafuta mwingine kwani dhahiri shahiri kakitendea mkubwa ccm kuliko makatibu wakuu zaidi ya sita waliopita ccm ingekosa kinana safari hii tungekuwa tunaizika rasmi
 
Hapa alistahili balozi Amina ila kurudia rudia kumtaja lowasa imekula kwake
 
Naona watu wanafukua threads za zamani na kupoteza wengine
 
Kumbe ni ahadi za wkt wa mapumziko tangu kabla ya mwaka (2014) jana? Wakubwa wana mambo. Ukitaka kula nyama achana na mchoma mshikaki olewa na mchinjaji !
 
Back
Top Bottom