Samia: Mohammed Interprises na WATCO kazi imewashida

Aggjmamy gadmptyam aclhnqxue gjgcngwakptp iaejmhubxnqb qaatpaokxnvkbehujadpaqwj gjgagmad gjgdbeanuhqkh cmebnqzlnurmke
 
Isiwe porojo tu kutafutia kura. Utakuta hapo hawaendelezi ila wamekopea hela toka nje. Serikali ionyeshe ujasiri kutekekeleza ahani hata kama wanakuta ufisadi wa kukopea ardhi yetu fedha nje. Hawa mabwanyenye samia asifikiri wana urafiki na maslahi ya nchi zaidi ya wao tu kupata utajiri hata kuitawala wao nchi na kuikamua bila wananchi kwenda popote kimaisha.
 
Anataka kumpa Abdul mwanawe aendeshe, maana anaendelea kugawa kila kitu kwa rafiki zake, wajomba zake na ndugu zake wasio na uwezo wa kufanya biashara. Wameshaimaliza Tanganyika hao wapuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…