Fue Fue
Senior Member
- Jan 6, 2013
- 107
- 128
Jimbo la Same Mashariki mwaka 2015 lazima liende CDM. Jimbo hili ndani ya wilaya ya same linamatatizo mengi kama lilivyo la Magharibi, kuna matatizo yanayosababishwa na geografia, watu, na matatizo makubwa yanasababishwa na kuwa na uwakilishi dhaifu bungeni na wilayani.
Ili Jimbo hili na wilaya ijikwamue kutoka kwenye tope, lazima kuongeza madiwani wa upinzani (CDM) ndani ya manispaa ya Same. Ilikuweza kusimamia vyema mapato na fedha za mgawo wa bajeti wilayani. Pili kuweza kuwa na wawakilishi wenye maono chanya na uwezo wa kushirikisha wananchi kujiletea maendeleo.
Ahadi hewa na upotevu mkubwa wa fedha za halmashauri ndio kikwazo kikubwa sana cha udidimivu wa maendeleo ya same. Wawakilishi wa jimbo hili wamekuwa vibaraka vya wabunge wa CCM na wabunge wamekuwa wakimbizi wamehama jimbo na kusau waliaomba kuwatumukia wananchi.
Jimbo la Same lina misitu kwa jili ya utalii, wanyama na mbuga ya wanayama kubwa. Lina milima mizuri, mabonde ya kilimo cha mpunga, miwa, kahawa na matunda. Ni jimbo ambalo likipata kiongozi mwenye mapenzi ya kweli kunauwezekano shule, chuo na ajaira vyote vikapatikana same na kuwa kitua kikubwa cha bidhaa na elimu.
Watalii wanakwama kufika kwenye vivutio vingi kwani barabara zake zimesahaulika kabisa, nyingi zikiwa hazipitiki hata kidogo. Shule zinatoa matokea ya kutisha na kuwaacha wazazi wahanga kwa kutumia fedha zao za shida kusomesha watoto na kuambulia sifuri.
Ile ari ya kujiletea maendeleo imeshuka kwani wanasiasa wamekuwa wongo na walaghai huku wakila kila michango ya maendeleo inayochangwa na wananchi.
Miaka 50 ya uhuru jimbo hili likiongozwa na wabunge tofauti wa CCM, limekuwa likizorota mwaka hadi mwaka.
Time to put a stop. This time change is must.
Ili Jimbo hili na wilaya ijikwamue kutoka kwenye tope, lazima kuongeza madiwani wa upinzani (CDM) ndani ya manispaa ya Same. Ilikuweza kusimamia vyema mapato na fedha za mgawo wa bajeti wilayani. Pili kuweza kuwa na wawakilishi wenye maono chanya na uwezo wa kushirikisha wananchi kujiletea maendeleo.
Ahadi hewa na upotevu mkubwa wa fedha za halmashauri ndio kikwazo kikubwa sana cha udidimivu wa maendeleo ya same. Wawakilishi wa jimbo hili wamekuwa vibaraka vya wabunge wa CCM na wabunge wamekuwa wakimbizi wamehama jimbo na kusau waliaomba kuwatumukia wananchi.
Jimbo la Same lina misitu kwa jili ya utalii, wanyama na mbuga ya wanayama kubwa. Lina milima mizuri, mabonde ya kilimo cha mpunga, miwa, kahawa na matunda. Ni jimbo ambalo likipata kiongozi mwenye mapenzi ya kweli kunauwezekano shule, chuo na ajaira vyote vikapatikana same na kuwa kitua kikubwa cha bidhaa na elimu.
Watalii wanakwama kufika kwenye vivutio vingi kwani barabara zake zimesahaulika kabisa, nyingi zikiwa hazipitiki hata kidogo. Shule zinatoa matokea ya kutisha na kuwaacha wazazi wahanga kwa kutumia fedha zao za shida kusomesha watoto na kuambulia sifuri.
Ile ari ya kujiletea maendeleo imeshuka kwani wanasiasa wamekuwa wongo na walaghai huku wakila kila michango ya maendeleo inayochangwa na wananchi.
Miaka 50 ya uhuru jimbo hili likiongozwa na wabunge tofauti wa CCM, limekuwa likizorota mwaka hadi mwaka.
Time to put a stop. This time change is must.