Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,909
Grienzmann na samata hawana tofauti....Very fucking true, simuoni jamaa akihangahika sana zaidi ya kusawazisha tu. Alafu watu wanamkamia Jack Glearish for no reason.
Grienzmann na samata hawana tofauti....Very fucking true, simuoni jamaa akihangahika sana zaidi ya kusawazisha tu. Alafu watu wanamkamia Jack Glearish for no reason.
ndo yale yale unamuoa Diva halafu unalalamika hafui wala hapiki wakati unamjua kabisa ndo alivyo.
Inabdi warudi kuangalia video za alipokuwa Genktatizo sio Samatta. tatizo Aston villa hawajui kumtumia. ina maana kabla hawajamnunua hawakupitia videos za mechi za genk kuona anachezaje uwanjani? kama ni mviziaji au mtafutaji?
ndo yale yale unamuoa Diva halafu unalalamika hafui wala hapiki wakati unamjua kabisa ndo alivyo.
So far, jamaa yupo sahihi katika uchambuzi wake. Jambo la msingi endelea kufunga na kuomba utabiri wake wa mwisho usitimie.Tuanzie hapa..
Striker kazi ni nani?
Kazi yake striker ya msingi ni ipi?
Kazi ya ziada ya striker ni ipi? (iwapo team ikiwa imeshinda au kufungwa)
Kuna aina ngapi za ma striker..
Ukiyajua haya basi utajiona mjinga sana.
Kajifunze
Aisee!!!Mtunga uzi
Yaelekea hufatilii soka kabisa,
Unamshangaa samatta?
Mbona Kuna washambuliaji walipita hata changa hawajui, lkn walitoboa vibaya mnoo kwa staili yao ya kuibia, na one touch goal km ulivyosema
Mfano mzuri kwa Africa ni Didier Drogba, huyu jamaa alikua hajui hata kupiga chenga akibaki na beki mmoja tuh, lkn mpira ya vichwa, kuibia na mengine ndo ilimpaisha
Ukijifunza ushabiki, jifunze kupitia history sio kukurupuka tuh
Samatta kwa upande mwengine ni mgeni kweny ligi, pia kwa taifa analotoka ni pekee kufika hapo na hakuna mwengine nyuma yake kwa ck hizi za Karibuni, (Labda mm) so wakati huu wa mwanzo atapagawa sanaaa, lkn akizoea utakuwa moto wa kuotea mbali kwani jamaa juhudi na bahati anayo kisoka
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
finally yametimiaNajua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.
Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.
Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.
Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia . Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania
Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.
Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
kabisa sio wanalalamika ovyo. Van Nistelrooy na Solskjaer magoli yao mengi yalikua ya uviziaji. if a player cant do what a coach wants, may b a coach should let a player do what he wants and what he thinks may work for him.Inabdi warudi kuangalia video za alipokuwa Genk
alisema mwenyewe kwenye interview.Utajuaje hafui wala hapiki kabla ya kuishi nae? Kuna video zake za makuzi?
Mtunga uzi
Yaelekea hufatilii soka kabisa,
Unamshangaa samatta?
Mbona Kuna washambuliaji walipita hata changa hawajui, lkn walitoboa vibaya mnoo kwa staili yao ya kuibia, na one touch goal km ulivyosema
Mfano mzuri kwa Africa ni Didier Drogba, huyu jamaa alikua hajui hata kupiga chenga akibaki na beki mmoja tuh, lkn mpira ya vichwa, kuibia na mengine ndo ilimpaisha
Ukijifunza ushabiki, jifunze kupitia history sio kukurupuka tuh
Samatta kwa upande mwengine ni mgeni kweny ligi, pia kwa taifa analotoka ni pekee kufika hapo na hakuna mwengine nyuma yake kwa ck hizi za Karibuni, (Labda mm) so wakati huu wa mwanzo atapagawa sanaaa, lkn akizoea utakuwa moto wa kuotea mbali kwani jamaa juhudi na bahati anayo kisoka
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi mkuu
vipi mkuu
Ana wake wangapi hapo kwenye kuchoka.Najua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.
Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.
Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.
Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia . Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania
Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.
Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
I think Samatta walimu chuuza kina Shafih Dauada wao target yao ilikua wapate hela mengine atajua mwenyewe huko Aston villa haikua team sahihi kwakwe sababu ina struggle kubaki primer league haina mda wa kujalibia mchezaji tuombee muujiza utokee ibaki league kuu vinginevyo ndio basi tenaNadhani nilikosea kujaji analysis hii, nadhani mleta uzi yupo sahihi.
Nimeangalia juzi akianzia bench ikanipa wasiwasi na asivyo kuwa mtu wa kutafuta mpira, nahisi anaweza sugua banch zaidi