Samatta hatomaliza misimu miwili ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)

tatizo sio Samatta. tatizo Aston villa hawajui kumtumia. ina maana kabla hawajamnunua hawakupitia videos za mechi za genk kuona anachezaje uwanjani? kama ni mviziaji au mtafutaji?

ndo yale yale unamuoa Diva halafu unalalamika hafui wala hapiki wakati unamjua kabisa ndo alivyo.
 
Tushatukanwa sana tuliosema ukweli kuhusu huyu kijana mwenzetu. Lakini muda utaendelea kutupa majibu. Kibongobongo ukisema ukweli unaonekana mtu wa ajabu/mchawi, KWA SASA Samatta hana physique wala kiwango cha kupambana katika ligi kuu ya Uingereza.
 
Tuanzie hapa..
Striker kazi ni nani?
Kazi yake striker ya msingi ni ipi?
Kazi ya ziada ya striker ni ipi? (iwapo team ikiwa imeshinda au kufungwa)

Kuna aina ngapi za ma striker..
Ukiyajua haya basi utajiona mjinga sana.

Kajifunze
So far, jamaa yupo sahihi katika uchambuzi wake. Jambo la msingi endelea kufunga na kuomba utabiri wake wa mwisho usitimie.
 
Mtunga uzi

Yaelekea hufatilii soka kabisa,

Unamshangaa samatta?

Mbona Kuna washambuliaji walipita hata changa hawajui, lkn walitoboa vibaya mnoo kwa staili yao ya kuibia, na one touch goal km ulivyosema

Mfano mzuri kwa Africa ni Didier Drogba, huyu jamaa alikua hajui hata kupiga chenga akibaki na beki mmoja tuh, lkn mpira ya vichwa, kuibia na mengine ndo ilimpaisha

Ukijifunza ushabiki, jifunze kupitia history sio kukurupuka tuh

Samatta kwa upande mwengine ni mgeni kweny ligi, pia kwa taifa analotoka ni pekee kufika hapo na hakuna mwengine nyuma yake kwa ck hizi za Karibuni, (Labda mm) so wakati huu wa mwanzo atapagawa sanaaa, lkn akizoea utakuwa moto wa kuotea mbali kwani jamaa juhudi na bahati anayo kisoka

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!!!
Ila watu mna dhambi sana kwakweli. Didier Drogba yupi uliyemtaja hapa? Drogba huyuhuyu aliyewatesa mabeki wa ligi kuu ya Uingereza kipindi ligi ina mabeki wenye roho mbaya kama wakaanga sumu au Drogba yupi?
 
Najua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.

Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.

Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.

Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia . Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania

Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.

Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
finally yametimia
 
Mtunga uzi

Yaelekea hufatilii soka kabisa,

Unamshangaa samatta?

Mbona Kuna washambuliaji walipita hata changa hawajui, lkn walitoboa vibaya mnoo kwa staili yao ya kuibia, na one touch goal km ulivyosema

Mfano mzuri kwa Africa ni Didier Drogba, huyu jamaa alikua hajui hata kupiga chenga akibaki na beki mmoja tuh, lkn mpira ya vichwa, kuibia na mengine ndo ilimpaisha

Ukijifunza ushabiki, jifunze kupitia history sio kukurupuka tuh

Samatta kwa upande mwengine ni mgeni kweny ligi, pia kwa taifa analotoka ni pekee kufika hapo na hakuna mwengine nyuma yake kwa ck hizi za Karibuni, (Labda mm) so wakati huu wa mwanzo atapagawa sanaaa, lkn akizoea utakuwa moto wa kuotea mbali kwani jamaa juhudi na bahati anayo kisoka

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app


Naona yametimia mechi ya pili anaanzia benchi aisee
 
Najua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.

Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.

Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.

Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia . Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania

Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.

Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
Ana wake wangapi hapo kwenye kuchoka.
 
Nadhani nilikosea kujaji analysis hii, nadhani mleta uzi yupo sahihi.

Nimeangalia juzi akianzia bench ikanipa wasiwasi na asivyo kuwa mtu wa kutafuta mpira, nahisi anaweza sugua banch zaidi
I think Samatta walimu chuuza kina Shafih Dauada wao target yao ilikua wapate hela mengine atajua mwenyewe huko Aston villa haikua team sahihi kwakwe sababu ina struggle kubaki primer league haina mda wa kujalibia mchezaji tuombee muujiza utokee ibaki league kuu vinginevyo ndio basi tena
 
Back
Top Bottom