Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,814
- 10,847
Shida ni kwamba watu wanafanya analysis ya kitu walichokiona , hafu wao wanaleta zarauBinafsi kucheza ulaya tu ni hatua kubwa. Habari ya lig gan acheze na ip asicheze ni mipango ya Mungu.
Kumewahi kuwa wachezaji mahiri sana na walioshindwa kuwika EPL
Majina Kama Deco, Shevi, hawakuwah kufany vizuri EPL pamoja na uwezo wao walikotoka.
Mbwana kaonesha njia, kumponda hakutuongezei wala hakutupunguzii. Wengine hata Yanga au Simba tu tumeshindwa kufika.
#Haina Kufeli
Sent using Jamii Forums mobile app