I wMchezaji maarufu hapa nchini ajulikanaye kama Samata a.k.a samagoal amesign mkataba mpaya ndani ya timu yake ya Genk huko ubelgiji
Kwani kusain mkataba mpya kunamzuia mchezaji kuondoka endapo timu nyingine ikimuitaji?Si walisema msimu ikiisha anahamia England, EPL? TZ bhana kabla hakujanoga tia maji tia maji
I w
Si walisema msimu ikiisha anahamia England, EPL? TZ bhana kabla hakujanoga tia maji tia maji
I w
Kujaza mkataba na kutaka kuondoka siku hiyo hiyo yatakuwa ni masihara aisee.Fikiri kwanza, unaweza kujaza mkataba na ukaondoka siku hiyo hiyo.
Uliwahi kusikia habari za kuvunja mikataba?Kujaza mkataba na kutaka kuondoka siku hiyo hiyo yatakuwa ni masihara aisee.
Kuna vipengele timu inayokuitaji ikivifikia basi unaondoka..Uliwahi kusikia habari za kuvunja mikataba?
Ndiyo nilishawahi kusikia.Uliwahi kusikia habari za kuvunja mikataba?
Kuna vipengele timu inayokuitaji ikivifikia basi unaondoka..
Mfano labda umeweka timu ikifika bei flani basi huru kuuzwa.
Yani nijuavyo timu inayokuitaji ndio inalipa gharama kukuvunjia mkataba.
Mchezaji maarufu hapa nchini ajulikanaye kama Samata a.k.a samagoal amesign mkataba mpaya ndani ya timu yake ya Genk huko ubelgiji