Samaki wa mapambo Ziwa Tanganyika

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,286
Reaction score
6,727
Tafiti zinaonesha kwamba Ziwa Tanganyika lina aina zaidi ya 350 ya samaki wa mapambo, mbali na samaki aina ya migebuka na dagaa zilizozoeleka.

Kwa wakazi, hasa wavuvi Kigoma, hii ni fursa nzuri ya uchumi na utalii. Ni muhimu kwa Serikali kuchukua hatua stahili kutinzana kukuza fursa hii.

Baadhi ya aina hizo ni kama picha zifuatazo






 
Wanapatikana eneo lote la ziwa au Ni kwa baadhi ya maeneo tu
 
Hao samaki wanapatikana baadhi ya Maeneo kwa aina tofauti, kuna wanao patikana mwambao wa Kigoma, Maeneo ya Rukwa kama Kipili, Kasanga, Kabwe, Ikola, kuna wanao patikana Zambia na aina nyingine Nchini Congo hasa Moba
 
Kuna mmoja mzuri Sana wa ziwa Tanganyika nilimkuta mahali anauzwa Dola 270
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…