dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Aisee huyu Mzungu Mmasai ataniletea majanga kwa wife kitendo cha kufungua tawi hapa opposite na ofisini imekuwa shida kwangu.
Wakati wa lunch lazima nizimue kidogo.Jioni nikitoka ofisini ndiyo nakaa hapo hadi usiku napata vitu huku nikicheki watoto wazuri, wife akihoji kwanini nachelewa, namjibu nilkuwa nasubiria foleni ipungue.
Sasa Jana nimerudi akahoji, hiyo foleni nimeanza kusubiria wiki hii tu?Mbona siku za nyuma nilikuwa nawahi home. Nimetoka asubuhi Leo nimemwacha kanuna balaa.
Wakati wa lunch lazima nizimue kidogo.Jioni nikitoka ofisini ndiyo nakaa hapo hadi usiku napata vitu huku nikicheki watoto wazuri, wife akihoji kwanini nachelewa, namjibu nilkuwa nasubiria foleni ipungue.
Sasa Jana nimerudi akahoji, hiyo foleni nimeanza kusubiria wiki hii tu?Mbona siku za nyuma nilikuwa nawahi home. Nimetoka asubuhi Leo nimemwacha kanuna balaa.