SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,770
Ubarikiwe dhambi mbaya sana.........wewe mwelewa sana haaaaallWewe nae una uvumilivu, ulikaa dk zote 45 ukitegemea labda mtangazaji atabadilika lakini wapi. Mm huwa nikisikiliza mada ya siku hiyo tu na aina ya mgeni aliyealikwa najua kabisa hapo ni bora nilale mapema, ni kama ninamaliza LUKU yangu tu.
Maswali yanayoulizwa majibu yake ni obvious hata mwendawazimu anaweza kujibu kwa usahihi. Mfano niliwahi kusikia swali la kipima joto “ je mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, hatua kali zichukuliwe kwa wanaobainika kutenda unyama huo”? Hilo ni swali kweli? mm nikikaa sebuleni kuangalia TV hadi watoto wangu huwa nahisi kama hawafurahi, maana nikishika remote muda wote mm ni kuhamisha channel tu, huwa sivumilii kusikiliza mambo ya ajabu ajabu, hata siasa wakishaleta za upande ule tu nahamisha. Kuna siku walificha remote, kila ninayemuuliza anasema hajaiona na hiyo TV waliwasha wao. Nikajiongeza tu kuwa hawa watoto wamegundua nitaanza kuhamisha hamisha, nikaamua kuingia tu chumbani kwangu na kujivinjari na jf, instagram na tweeter
Usiikaribie dhambi kwa kigezo kwamba umeokoka, unaweza kuteleza shetani hajawahi kufa, muda wote anatafuta watu awameze.
hakuna asiyependa ukuu wa mkoa au wilaya jamaniMahela kipindi chako kinakosa mvuto. wanangalia wachache.
Mosi, unauliza mambo ambayo ni ama huyajui au umedangishwa. Maswali mengi uliyomuliza jafo ilifaa umulize Mtendaji wa Kata au Mek (Mratibu wa elimu kata)
Pili, kipindi kinakosa mvuto kwa kuwa kuna fanani/ msimuliaji tu na hadhira hairuhusiwi kuliza maswali.
Tatu, maswali unayouliza siyo fikirishi yanampa muulizwaji nafasi ya kuelezea hisia badala ya actual facts. Mfano wewe unasemaje? Hupaswi kumuliza waziri hivyo kwakuwa hujamwalika kama mtu binafsi umeialika wizara.
Nne, unatumia vibaya gesture? Kuongeza chunvi yale unayoyaongea.huwapi watazamaji uhuru wa kuamua juu ya unachohoji.
Nakifananisha kipindi hiki na mazungumzo baada ya habari, bwana Juma Ngondai alikuwa ananiacha na maswali mengi sana pasi na majibu lakini sasa najua alikuwa anadanganya, kutisha na kuogofya watu.
Mahela boresha kipindi, ruhusu simu toka kwa walaji
Upo vizuri kidogoWewe nae una uvumilivu, ulikaa dk zote 45 ukitegemea labda mtangazaji atabadilika lakini wapi. Mm huwa nikisikiliza mada ya siku hiyo tu na aina ya mgeni aliyealikwa najua kabisa hapo ni bora nilale mapema, ni kama ninamaliza LUKU yangu tu.
Maswali yanayoulizwa majibu yake ni obvious hata mwendawazimu anaweza kujibu kwa usahihi. Mfano niliwahi kusikia swali la kipima joto “ je mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, hatua kali zichukuliwe kwa wanaobainika kutenda unyama huo”? Hilo ni swali kweli? mm nikikaa sebuleni kuangalia TV hadi watoto wangu huwa nahisi kama hawafurahi, maana nikishika remote muda wote mm ni kuhamisha channel tu, huwa sivumilii kusikiliza mambo ya ajabu ajabu, hata siasa wakishaleta za upande ule tu nahamisha. Kuna siku walificha remote, kila ninayemuuliza anasema hajaiona na hiyo TV waliwasha wao. Nikajiongeza tu kuwa hawa watoto wamegundua nitaanza kuhamisha hamisha, nikaamua kuingia tu chumbani kwangu na kujivinjari na jf, instagram na tweeter
Usiikaribie dhambi kwa kigezo kwamba umeokoka, unaweza kuteleza shetani hajawahi kufa, muda wote anatafuta watu awameze.
Upepo mazeeee, keshausoma.Mahela kipindi chako kinakosa mvuto. wanangalia wachache.
Mosi, unauliza mambo ambayo ni ama huyajui au umedangishwa. Maswali mengi uliyomuliza jafo ilifaa umulize Mtendaji wa Kata au Mek (Mratibu wa elimu kata)
Pili, kipindi kinakosa mvuto kwa kuwa kuna fanani/ msimuliaji tu na hadhira hairuhusiwi kuliza maswali.
Tatu, maswali unayouliza siyo fikirishi yanampa muulizwaji nafasi ya kuelezea hisia badala ya actual facts. Mfano wewe unasemaje? Hupaswi kumuliza waziri hivyo kwakuwa hujamwalika kama mtu binafsi umeialika wizara.
Nne, unatumia vibaya gesture? Kuongeza chunvi yale unayoyaongea.huwapi watazamaji uhuru wa kuamua juu ya unachohoji.
Nakifananisha kipindi hiki na mazungumzo baada ya habari, bwana Juma Ngondai alikuwa ananiacha na maswali mengi sana pasi na majibu lakini sasa najua alikuwa anadanganya, kutisha na kuogofya watu.
Mahela boresha kipindi, ruhusu simu toka kwa walaji
umejuaje kama zipo?Una muda wa mchezo sana..kwangu mm marufuku clouds FM, clouds TV, radio one, TBC, ITV. Ni marufuku kwangu..!! Habari naangalia azam two ..nikitaka mpira dstv, nikitaka yanga azam anatosha..nikitaka mziki MTV base, Chanel e ya majizo basi..!! Wanafki hawana nafsi kwangu.
Tena habari nyingi now nazipata jf zikiwa hazijaeditiwa. Miziki YouTube.
Yaani kati ya vipindi vya hovyo ITV ni hiki cha kumuacha mtu aseme uongo mwanzo mwisho bila kuruhusu maswaliITV imepoteza muelekeo .
Kwakusema ukweli sikumbuki lini niliangalia tv naona habari ZA humu jamvini zinafikirishaMahela kipindi chako kinakosa mvuto. wanangalia wachache.
Mosi, unauliza mambo ambayo ni ama huyajui au umedangishwa. Maswali mengi uliyomuliza jafo ilifaa umulize Mtendaji wa Kata au Mek (Mratibu wa elimu kata)
Pili, kipindi kinakosa mvuto kwa kuwa kuna fanani/ msimuliaji tu na hadhira hairuhusiwi kuliza maswali.
Tatu, maswali unayouliza siyo fikirishi yanampa muulizwaji nafasi ya kuelezea hisia badala ya actual facts. Mfano wewe unasemaje? Hupaswi kumuliza waziri hivyo kwakuwa hujamwalika kama mtu binafsi umeialika wizara.
Nne, unatumia vibaya gesture? Kuongeza chunvi yale unayoyaongea.huwapi watazamaji uhuru wa kuamua juu ya unachohoji.
Nakifananisha kipindi hiki na mazungumzo baada ya habari, bwana Juma Ngondai alikuwa ananiacha na maswali mengi sana pasi na majibu lakini sasa najua alikuwa anadanganya, kutisha na kuogofya watu.
Mahela boresha kipindi, ruhusu simu toka kwa walaji
Wewe nae una uvumilivu, ulikaa dk zote 45 ukitegemea labda mtangazaji atabadilika lakini wapi. Mm huwa nikisikiliza mada ya siku hiyo tu na aina ya mgeni aliyealikwa najua kabisa hapo ni bora nilale mapema, ni kama ninamaliza LUKU yangu tu.
Maswali yanayoulizwa majibu yake ni obvious hata mwendawazimu anaweza kujibu kwa usahihi. Mfano niliwahi kusikia swali la kipima joto “ je mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, hatua kali zichukuliwe kwa wanaobainika kutenda unyama huo”? Hilo ni swali kweli? mm nikikaa sebuleni kuangalia TV hadi watoto wangu huwa nahisi kama hawafurahi, maana nikishika remote muda wote mm ni kuhamisha channel tu, huwa sivumilii kusikiliza mambo ya ajabu ajabu, hata siasa wakishaleta za upande ule tu nahamisha. Kuna siku walificha remote, kila ninayemuuliza anasema hajaiona na hiyo TV waliwasha wao. Nikajiongeza tu kuwa hawa watoto wamegundua nitaanza kuhamisha hamisha, nikaamua kuingia tu chumbani kwangu na kujivinjari na jf, instagram na tweeter
Usiikaribie dhambi kwa kigezo kwamba umeokoka, unaweza kuteleza shetani hajawahi kufa, muda wote anatafuta watu awameze.