Sam Mahela kumwambia Hashim Rungwe anaropoka, ni kumkosea adabu

Sam Mahela kichwa cha samaki hana adabu kabisa utamwambia mgeni uliyemwalika kwenye kipindi unamwambia unaropoka yeye pale aliuuva UCCM wake sio poffesionalism maswali aliyokuwa akimuuliza Mzee Rungwe ni ya kumkebehi kama anaona hana muda wa kuwahshimu vionozi wa upinzani ya nini anawaalika
 
Sijui kwa nini hawamtazami (Hawa wenye vipindi vya mahojiano) na kujifunza kwa Nguli Tido!
 
Sam mahela anataka bahati ya Godwin Gondwe,anajaribu kuacha fani yake ili ajikombe kwa serikali,shida sana
 
Jackline hata anaposoma habari una-sense brightness yake,you feel her brain power anapoongoza kipindi,nadhani atafika mbali sana

Sam Mahela anachoweza ni kutikisa kishingo chake na kiuno basi,hasa anapokuwa saiti akiripoti habari
 
Pale kwakweli hata mm cjapenda kabisa ..To be journalist is just honest to respect each other.. lKn jana kani boa kaonyesha udhaifu katika taaluma yake..Pia apunguze kutumia nguvu pindi anapo ongea.. ana High action of body language thats not ok..
 
Back
Top Bottom