Saluni ya kiume inauzwa

Saluni ya kiume inauzwa

Aisee.. salon nzuri ila maelezo haba
Jamani hii SALON ina vitu vifuatavyo ndani ambavyo vinauzwa pamoja na kufanya bei ianzie Mil.6.

1. Ina Viti 2 (vya kunyolea).
2. Ina Machine 2 ( za kimarekani) za kunyolea.
3. Ina sofa mbili za wateja kusubiria kunyoa.
4. Ina Kodi iliyobaki mpaka mwezi wa August,2019.
5. Ina Luku inayojitegemea. Na ukitaka kuondoka nayo utaondoka nayo.
6. Kodi kwa mwezi ni Tzs 150,000/=.
7. Ipo sehemu nzuri sana kwa biashara hiyo maana ni kituoni.

Bei naanzia million 6 , maongezi yapo kwa anayemaanisha. Simu 0739025947
 
Hivi inawekana kweli biashara inayokupa faida uiuze ili ufungue nyingine? Yaani wewe hutaki kuwa na biashara nyingi kama mpendwa wetu Dr Mengi?
Kwanini isiwezekane?! Issue sio faida bali possible maximum profit! Tuseme kwa siku unalaza 50K, ina maana kwa mwezi una 1.5M; hiyo ni faida!

Lakini wakati kwa mwezi unapata 1.5M, anakuja mtu anakupa mchongo mwingine tofauti na hiyo biashara inayokupa 1.5M kwa mwezi.Kimahesabu, unakuta biashara hiyo mpya inaweza kukupa angalau 2M lakini kuna kiasi cha pesa kimepwaya ili uwekeze kwenye hiyo biashara mpya!

Kama umejiridhisha biashara mpya itaweza kukupa angalau 2M kwa mwezi, kwanini usiuze ile inayokupa 1.5M kwa ajili ya kupata mtaji hasa baada ya alternatives zote za kupata mtaji kukwama?! Business is all about risk taking!
 
Jambo lililo jema ni kwamba hii SALON siiuziii shida . Na ninaiuza kama ilivyo na vitu vyote vilivyomo ndani. Mwenye kuhitaji hii Salon ndiyo atakayeinunua.

Wenye akili timamu watakuwa wamenielewa.

Karibuni.
 
Habari za majukumu!

Nauza salon ya kiume ikiwa na kila kitu chake ndani kama vinavyoonekana katika picha.
Hiyo salon ipo maeneo ya Banana kituoni .
Bei ni 6,000,000/= maongezi yapo.
Ipo kwenye eneo lenye watu wengi.
Kwa anayehitaji tuwasiliane Kwa 0739025947.


Karibuni. Bei maelewano.View attachment 1093250View attachment 1093251View attachment 1093252View attachment 1093253View attachment 1093255
Pole sana mkuu siku hizi tunanyolea nywele majumbani mwetu tena tunapiga para tuu saloon mara chache sana chezea vyuma
 
Jambo lililo jema ni kwamba hii SALON siiuziii shida . Na ninaiuza kama ilivyo na vitu vyote vilivyomo ndani. Mwenye kuhitaji hii Salon ndiyo atakayeinunua.

Wenye akili timamu watakuwa wamenielewa.

Karibuni.

Nimeona kachumba ka kusafisha, vipi kuna wahudumu wangapi wa kusafisha?

Na hao nao unawauza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom