Saluni ya kiume inauzwa

Saluni ya kiume inauzwa

yakobo11

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2016
Posts
510
Reaction score
737
Habari za majukumu!

Nauza salon ya kiume ikiwa na kila kitu chake ndani kama vinavyoonekana katika picha.
Hiyo salon ipo maeneo ya Banana kituoni .
Bei ni 6,000,000/= maongezi yapo.
Ipo kwenye eneo lenye watu wengi.
Kwa anayehitaji tuwasiliane Kwa 0739025947.


Karibuni. Bei maelewano.
IMG-20190509-WA0011.jpeg
IMG-20190509-WA0010.jpeg
IMG-20190509-WA0014.jpeg
IMG-20190509-WA0013.jpeg
IMG-20190509-WA0015.jpeg
 
Unabadilisha biashara au inakupa hasara, una data za mapato ya hiyo biashara yako.
Siyo kwamba nilikuwa napata hasara , ila nimeamua kuiuza , na kubadilisha aina ya biashara. Kama unahitaji karibu Kaka.

Nilikuwa napata faida nzuri tu .
 
Wewe unavyoona gari ndio kitu cha maana sana unadhani wote?
Unajuaje kama hilo gari hana?.
Unakuta hapo anauza hii biashara ili anunue ki gari alingishie mtaaani wakat eneo lina wateja kinoma
 
Habari za majukumu!

Nauza salon ya kiume ikiwa na kila kitu chake ndani kama vinavyoonekana katika picha.
Hiyo salon ipo maeneo ya Banana kituoni .
Bei ni 6,000,000/= maongezi yapo.
Ipo kwenye eneo lenye watu wengi.
Kwa anayehitaji tuwasiliane Kwa 0739025947.


Karibuni. Bei maelewano.View attachment 1093250View attachment 1093251View attachment 1093252View attachment 1093253View attachment 1093255
ZA jion Mkuu.
Ukitaka kuuza vizuri, ainisha vilivyopo, ili mtoa aone kama dhamani ya vifaa inalingana na fedha atakayotoa.
Mfano:-
Sehemu ni.............................kwa kawaida frame hukodishwa kwa tsh .................
Viti nya kunyolea viko..................@
mashine za kunyolea ziko ........................@
Kiti cha wageni cha watu 3 viko .......................... @
etc

Kama ukipenda lakini, sikulazimishi.
 
ZA jion Mkuu.
Ukitaka kuuza vizuri, ainisha vilivyopo, ili mtoa aone kama dhamani ya vifaa inalingana na fedha atakayotoa.
Mfano:-
Sehemu ni.............................kwa kawaida frame hukodishwa kwa tsh .................
Viti nya kunyolea viko..................@
mashine za kunyolea ziko ........................@
Kiti cha wageni cha watu 3 viko .......................... @
etc

Kama ukipenda lakini, sikulazimishi.
Vizuri sana. Nitaufanyia kazi
 
Siyo kwamba nilikuwa napata hasara , ila nimeamua kuiuza , na kubadilisha aina ya biashara. Kama unahitaji karibu Kaka.

Nilikuwa napata faida nzuri tu .
Hivi inawekana kweli biashara inayokupa faida uiuze ili ufungue nyingine? Yaani wewe hutaki kuwa na biashara nyingi kama mpendwa wetu Dr Mengi?
 
Hivi inawekana kweli biashara inayokupa faida uiuze ili ufungue nyingine? Yaani wewe hutaki kuwa na biashara nyingi kama mpendwa wetu Dr Mengi?
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, huyu jamaa sio.
 
Kipi hpo kinakufanya uifikishe Iyo saloon Milion 6 mahana viti vipo 3 au vioo mahan nashidwa kuelewa hpo milion 2 tu mtu kumpata n xhidah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom