Ni biashara nzuri mi nilishawahi kuwa nayo miaka ya nyuma na ilikuwa standard san, tatizo lake ni kipato chake kiko fixed sana kama ukikubaliana na kinyozi kwa wiki akuletee 20,000/= basi kama una vinyozi wawili jua kwamba ni 40,000x4=160,000/= kwa mwezi hii itakuwa ni hesabu ambayo ni fixed tofauti na biasahara zingine ambazo siku nyingine inaweza kukutoa kwa dili moja, fanya kwa nia ya kujiongezea mshahara ila si ya kukutoa saaaaana, unless otherwise kinyozi uwe mwenyewe hapo utaiona faida maaana mapato yote utakuwa unakusanya mwenyewe, Na bado vinyozi hawajakuzingua maaana sometime hesabu hawaleti wanakupiga sound watalipa next week nilikuwa na matatizo na kama binadamu huwezi kukataa