Salome Kitomari: Wanahabari watumie nyenzo za kidigitali kuthibitisha taarifa

Salome Kitomari: Wanahabari watumie nyenzo za kidigitali kuthibitisha taarifa

JamiiCheck

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
213
Reaction score
226
Salome Kitomari anakumbusha wajibu wa waandishi wa habari kutoa taarifa Sahihi, pamoja na kupambana dhidi ya Taarifa Potofu kwa kutumia nyenzo za kidijitali zinazosaidia kubainisha Uhalisia wa Taarifa na

Mathalani nyakati za uchaguzi, Taarifa Sahihi ni chachu muhimu ya kuwawezesha wananchi kufanya maamuzi sahihi kwa wakati.
 
Kwani hizo media zina uhuru

Ova
 
Back
Top Bottom