Salmin Swaggz Ft Mimi Mars OLA lyrics

niggerchafu

Member
Dec 28, 2017
26
22
Ola-COVER.jpg


[Intro]
Yeah yeah, I don't wanna be with you, no more

[Verse 1: Salmin Swaggz]
Listen baby I ain't trynna be crazy
Najua unapenda nyumba za masaki na mbezi
Najua unataka vingi kwangu zaidi ya mapenzi
Kwa maana hata ma-ex wamenizidi unyamwezi
Na siwezi kubishana nikaanza makuu tena
Hatuwezi kushindana ka ukianza kwa kunisema
Maneno yamenishinda umenioverdose
Au sababu siku hizi unawindwa na hao matoz
Maybe I'm so silly na makosa nimekiri
Mashoga zako ni dili ila kama utanifkiria pia
Kumbuka hili, mi na we tuko wawili
Mark X toleo la pili mwanao mi nimefulia so listen

[Chorus: Mimi Mars]
Ola, ola, ooh
Kama nakuona unavyonikosa
Ola, ola, ooh
Mapenzi ya maneno yamenichosha
Aka babu wee, aka babu wee
Aka babu wee, aka babu wee

[Verse 2: Salmin Swaggz]
So naweza sema, penzi limefanya niote mizizi
Na ukinuna tu unafanya niote kichizi
Haya mapenzi ya kifilipino siigizi
Mpaka mama anasema umenipa kizizi
Kwenye hii zizi
Mi nasema hamna Berna, hamna Wema nishafunga sioni tena
Na usiniache kwa sababu ya kipato
Siku utajua kwamba mi ndo wa ukweli kwako
Yeah, I'll be doing everything, yes
Sitaki hata kuchat na demu ukanipa kesi
Sitaki hata kusimama tu mahali itakua tetesi
Ntakuandikia nyimbo kali hata akina Cassper Nyovest watajua tu

[Chorus: Mimi Mars]
Ola, ola, ooh
Kama nakuona unavyonikosa
Ola, ola, ooh
Mapenzi ya maneno yamenichosha
Aka babu wee, aka babu wee
Aka babu wee, aka babu wee

[Bridge]
Nakumwaga, nakumimina
Wacha nivunje mifupa na meno bado ipo
Nakumwaga, nakumimina

[Chorus: Mimi Mars]
Ola, ola, ooh
Kama nakuona unavyonikosa
Ola, ola, ooh
Mapenzi ya maneno yamenichosha
Aka babu wee, aka babu wee
Aka babu wee, aka babu wee
 
View attachment 909239

[Intro]
Yeah yeah, I don't wanna be with you, no more

[Verse 1: Salmin Swaggz]
Listen baby I ain't trynna be crazy
Najua unapenda nyumba za masaki na mbezi
Najua unataka vingi kwangu zaidi ya mapenzi
Kwa maana hata ma-ex wamenizidi unyamwezi
Na siwezi kubishana nikaanza makuu tena
Hatuwezi kushindana ka ukianza kwa kunisema
Maneno yamenishinda umenioverdose
Au sababu siku hizi unawindwa na hao matoz
Maybe I'm so silly na makosa nimekiri
Mashoga zako ni dili ila kama utanifkiria pia
Kumbuka hili, mi na we tuko wawili
Mark X toleo la pili mwanao mi nimefulia so listen

[Chorus: Mimi Mars]
Ola, ola, ooh
Kama nakuona unavyonikosa
Ola, ola, ooh
Mapenzi ya maneno yamenichosha
Aka babu wee, aka babu wee
Aka babu wee, aka babu wee

[Verse 2: Salmin Swaggz]
So naweza sema, penzi limefanya niote mizizi
Na ukinuna tu unafanya niote kichizi
Haya mapenzi ya kifilipino siigizi
Mpaka mama anasema umenipa kizizi
Kwenye hii zizi
Mi nasema hamna Berna, hamna Wema nishafunga sioni tena
Na usiniache kwa sababu ya kipato
Siku utajua kwamba mi ndo wa ukweli kwako
Yeah, I'll be doing everything, yes
Sitaki hata kuchat na demu ukanipa kesi
Sitaki hata kusimama tu mahali itakua tetesi
Ntakuandikia nyimbo kali hata akina Cassper Nyovest watajua tu

[Chorus: Mimi Mars]
Ola, ola, ooh
Kama nakuona unavyonikosa
Ola, ola, ooh
Mapenzi ya maneno yamenichosha
Aka babu wee, aka babu wee
Aka babu wee, aka babu wee

[Bridge]
Nakumwaga, nakumimina
Wacha nivunje mifupa na meno bado ipo
Nakumwaga, nakumimina

[Chorus: Mimi Mars]
Ola, ola, ooh
Kama nakuona unavyonikosa
Ola, ola, ooh
Mapenzi ya maneno yamenichosha
Aka babu wee, aka babu wee
Aka babu wee, aka babu wee
Hiyu salmin swaggz ndo zaman alkua slim swaggz au wawili tofauti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom