Sales & Marketing Officer

Sales & Marketing Officer

Habar, naomba kazi ya afisa mauzo na masoko nina diploma ya mechanical engineering (ufundi mitambo) pia Nina ujuzi wa IT (Information Technology) kama kuunda tovuti (website), graphics design, social media management, digital marketing, naweza kuandaa maudhui ya mtandaoni kam Facebook, Instagram na Mitandao mingine kuwashawishi wateja....nipo vizuri mkuu...karibu tufanye kazi. Mawasiliano: 0756704145
Wee chengaaa kweliii yamakatumaa email,wee unaombaa kazi hukuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom