Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Labda hii inawahusu zaidi watumishi wa umma.
Maana Tanzania yetu vitu vingi huwa vinaenda ndivyo sivyo.
Imekuwa kawaida kupata salary slip siku kadhaa baada ya misihara kutoka. Je hili lipo sawa?
Mantiki nzima ya salary slip ni nini? Ujue ulichopata au ujue utachopata ili kama kuna upungufu useme mapema waweke sawa?
Maana Tanzania yetu vitu vingi huwa vinaenda ndivyo sivyo.
Imekuwa kawaida kupata salary slip siku kadhaa baada ya misihara kutoka. Je hili lipo sawa?
Mantiki nzima ya salary slip ni nini? Ujue ulichopata au ujue utachopata ili kama kuna upungufu useme mapema waweke sawa?