Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,184
Enyi wanawake mliojaa huruma na mapenzi mema kwa waume na wapenzi na watoto wenu salam ziwafikie popote mlipo.
Nmegundua kuwa mwanamke ni mtu mhimu sana kwetu wanaume.
Mwanamke anauwezo wa kukutolea hasira zote.stres zote za madeni, anakuondolea upweke, anakutoa baridi na kukupa joto, hata kama yeye hana ham ya kufanya tendo anajilazim akufurahishe ww mwanaume.
Tunawajaza mimba na kuwatelekeza lakin baadaye mnasahau yaliyopita na kuendelea kutupa raha zaidi.
Mwanamke anakumbana na mitihani mizito sana ikiwa ni pamoja na kuingiliwa kinyume na maumbile,kupigwa mtungo, kusalitiwa lakin yoote hayo anayaweka kapuni na kuendelea kumstarehesha zaidi mwanaume.
JANA NILIANDIKA UZI WA KULIPA KISASI KWA KUMJAZA MIMBA MWANAMKE MMOJA ALIYENIDHALILISHA. LAKIN SASA SIFANYI HIVYO TENA.
Endeleen na moyo wa huruma na uvumilivu enyi wanawake. Bila nyinyi sijui tungeishia wapi sisi wanaume. Kwasababu mm ninapovurugwa tu kitu cha kwanza ni papuchi ndio dawa ya kuniondolea stress
cc charminglady na Heaven on Earth
Nmegundua kuwa mwanamke ni mtu mhimu sana kwetu wanaume.
Mwanamke anauwezo wa kukutolea hasira zote.stres zote za madeni, anakuondolea upweke, anakutoa baridi na kukupa joto, hata kama yeye hana ham ya kufanya tendo anajilazim akufurahishe ww mwanaume.
Tunawajaza mimba na kuwatelekeza lakin baadaye mnasahau yaliyopita na kuendelea kutupa raha zaidi.
Mwanamke anakumbana na mitihani mizito sana ikiwa ni pamoja na kuingiliwa kinyume na maumbile,kupigwa mtungo, kusalitiwa lakin yoote hayo anayaweka kapuni na kuendelea kumstarehesha zaidi mwanaume.
JANA NILIANDIKA UZI WA KULIPA KISASI KWA KUMJAZA MIMBA MWANAMKE MMOJA ALIYENIDHALILISHA. LAKIN SASA SIFANYI HIVYO TENA.
Endeleen na moyo wa huruma na uvumilivu enyi wanawake. Bila nyinyi sijui tungeishia wapi sisi wanaume. Kwasababu mm ninapovurugwa tu kitu cha kwanza ni papuchi ndio dawa ya kuniondolea stress
cc charminglady na Heaven on Earth
Last edited by a moderator: