Salamu kwa Wanzanzibar

Salamu kwa Wanzanzibar

mbishi,

Stupid aurgument, wewe unaonekana Zanzibar huijui unajuwa ulichosomeshwa kibasila secondary na ccm kwa mantiki hiyo hiyo unayosema kuwa viongozi wa Ccm wanayofanya. Wewe una kasumba na chuki ya warabu usingalisema hivyo wala huwajui warabu sisi tuliozaliwa na kukulia na kusoma Zanzibar na WaTanganyika waliozaliwa Tanganyika na wakakulia Tanganyika hasa Pwani tunawajueni nyinyi Watanzania bara kuliko mnavyozijuwa nafsi zenu, sisi tumeijuwa ajenda yenu na baba yenu wakambo tokea zamani na ndio maana siku zote upinzani dhidi ya Muungano na CCM unaanzia Zanzibar karibu miaka 50 sasa na nyinyi siku zote hadi tuwaaamshe kwa vile nyama choma na serengeti zilivyojaa vichwani mwenu mkageuzwa vilaza.

Kwanza karibu Zanzibar uje tukusomeshe historia yetu halisi, kisha tukuonyeshe na wewe uhalisia wako kisha ndio uingie mtandaoni kuzungumzia Zanzibar, nyinyi kama mnaitaka Tanganyika basi iondoeni.CCM tokeni hadhari mulikatae Bunge kuendelea kwani wale wabunge 400 wa CCM wasiotaka Tanganyika ireje waliwekwa na wingi gani madarakani kama nyinyi ndio wengi mnaoitaka Tanganyika? Nasema na mtuheshimu kwani sisi mantuhitaji kuirudisha Tanganyika na mamalaka yake kamili na msimamo wetu manujuwa vizuri anagalia hapa:
View attachment 147617

Hiyo ndiyo jawabu ya JK, sasa nyinyi M4Chuki hamuwezi kuwa ndumila kuwili eti.mnataka serikali 3 na Tanganyika halafu mnatujejea sisi wa upande wa pili wa muungano. Nyinyi ndio mlioshirikiana na CCM wakati wana CUF wanadai nchi yao mkawacheka wakati wanauliwa kule Micheweni. Sasa nanyi yanawakuta, Arusha, Iringa, Geita, Kigoma, Chalinze, na kwengineko "Mla kuku wa mwenzie miguu humuelekea"

Kwa kusoma chini ya mamalaka ya Jamhuri sisi hatushindani na nyinyi sababu huu Muungano ndio tukaukataa kwani kabla ya hapo 26/4/64 tulikuwa tuanongoza kwa Elimu kuliko nyinyi. Ushahidi hai ni Viongozi kama Mzee A. H MWINYI, Salim A. Salim, Marehem Abdulwakil na wengine wengi. Lakini sisi wa Zanzibari dhiki imetufunza mengi na tume survive na hii ni moja ya msingi wa elimu kwani imetufanya tujiendeleze wewnywe ndio.maana Kariakoo 2/3 tumeishika kwa Biashara na kwa uwezo tulionao tunaweza kuwageuzia kibao tukawatawala akili zenu kwa njia ya kufisidi matamanio yenu mlioyaweka mbele hamuutaki Muungano na bado munatia ufisadi Zanzibar. Kwani Zanzibar imiwa ni ya watu weusi, buluu, njano au nyekundu inakuhusu nini wewe? Kama mna lazima ya kila penye weusi ni kwenu nendeni Sudan Kusini, leo hii imetoka report mumewafukuza Watu weusi 5000 kuwapeleka Uganda jee wale ni Wapemba,mnasema Ugqnda ni kwao nao Waganda wamekataa kuwa hao sio kwao kwanini msiwazuie serikali kuwaondoa?. Double Standard zenu tunazijuwa vizuri.

CHADEMA KAMA MNATAKA NCHI 2015 ondoeni chuki za kidini na kikanda acheni kuichukia Zanzibar na hasa uislam. Adui yenu ni nyinyi wenyewe, The Enemy Within!

Asante
View attachment 147643

jawabu ya JK hiyo Kibanda maiti

Sikia ww ninaamin hujasoma na elimu yako ni ndogo,km mnamaanisha kuvunja muungano ,ondoken kabisa na huku,mm nawashanga sn nyie kutwa kulalamika lkn kutwa mpo bara sasa mnafanya NN,ondoken wote huku then uhuru wenu mkadaie huko kwenu.kwann mnadai uhuru then bado mpo huku,rudien kwenu wote,angalia idad ya wazenj waliokua huku na idad ya wabara waliokua huko,kongolo we
 
Last edited by a moderator:
Sikia ww ninaamin hujasoma na elimu yako ni ndogo,km mnamaanisha kuvunja muungano ,ondoken kabisa na huku,mm nawashanga sn nyie kutwa kulalamika lkn kutwa mpo bara sasa mnafanya NN,ondoken wote huku then uhuru wenu mkadaie huko kwenu.kwann mnadai uhuru then bado mpo huku,rudien kwenu wote,angalia idad ya wazenj waliokua huku na idad ya wabara waliokua huko,kongolo we
Kwi kwi kwi kwi.Fukuza kabisa kenge hao wakajiunge na somalia.
 
Sio wapemba tu wanatumia fursa halali ya muungano. Wamasai wamejaa zanzibar na wapo huru na wana enjoy zaidi life kuliko wakiwaoo kwao tanganyika
Watu watanganyika ccm wanawataja wapemba kwa husda na kuwa tutafukuzana ikija tanganyika.. mbona hawa wammejaa znz na hawaja kuwa single out na wanasiasa wa bara mfano wa wale wa vitunguu alo waona kikwete.
Hivi watu watanganyika hawapendi kuona nayo znz inapiga hatua?
Bila ya shaka wengi wanapenda..kwahio hatua hio haiwezi kupatikana ndani ya mfumo wa sasa wa muungano
 
Ndugu na majirani zetu Waunguja na Wapemba ninawasalimu Asalaam Alehykum,
Baada ya salamu ndugu zangu ningependa kuwataarifu kwamba tunashukuru sana kwa juhudi zenu zilizopelekea sisi kuamka na kudai Tanganyika yetu.Hakika nyinyi ni mashujaa wetu.

Hivyo basi jirani zetu kama walivyo Kenya na Uganda tunawaomba msifikirie chochote kuhusu Muungano wa serikali tatu au wa mkataba baina yetu ila kama mtapenda tukutane kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki.Mwisho ninamalizia kwa kusema akufukuzae hakwambii toka.Ujumbe mmeupata.Ahsanteni.Alamsik.cc maalim Seif

W.salaam tumezipata salamu, tunahitaji na nyie mjitokeze, sie tupo tayari tukutane jumuiya ya afrika mashariki lakini nyie mnatuangusha, vipi mmeparalise? Mana hatuoni juhudi yoyote kutoka kwenu, kuwaamsha tumewaamsha pia tuwakogeshe ama?
 
Last edited by a moderator:
Sikia ww ninaamin hujasoma na elimu yako ni ndogo,km mnamaanisha kuvunja muungano ,ondoken kabisa na huku,mm nawashanga sn nyie kutwa kulalamika lkn kutwa mpo bara sasa mnafanya NN,ondoken wote huku then uhuru wenu mkadaie huko kwenu.kwann mnadai uhuru then bado mpo huku,rudien kwenu wote,angalia idad ya wazenj waliokua huku na idad ya wabara waliokua huko,kongolo we

Unaumwa? Usitupe ngumi hewani mshazoea kutawaliwa na.masultani wa CCM subirini wawadai minikabang 0713 sasa ndiyo ilobaki mtajuwa muungano muungano kwani ndio Mungu?
 
Unaumwa? Usitupe ngumi hewani mshazoea kutawaliwa na.masultani wa CCM subirini wawadai minikabang 0713 sasa ndiyo ilobaki mtajuwa muungano muungano kwani ndio Mungu?

Kwann mnangangania kwetu??km kwel mngekua mnamaanisha bas asingekuja hata mmoja huku lkn sku hiz mmejazana had vijijin huko mnauza ice cream kwan zenji ice cream haziuzik????ha hahhhhhhhha mnapima nyie hammaanish,km kwel mnamaaanishamwa zenji wote mngeanza kuhamisha vtu ,na mshafulia mana mkitaka kuhama msisahau kuchukua na watto zetu tulozaa na dada zenu,muwabebe nao mkawalee
 
Kwann mnangangania kwetu??km kwel mngekua mnamaanisha bas asingekuja hata mmoja huku lkn sku hiz mmejazana had vijijin huko mnauza ice cream kwan zenji ice cream haziuzik????ha hahhhhhhhha mnapima nyie hammaanish,km kwel mnamaaanishamwa zenji wote mngeanza kuhamisha vtu ,na mshafulia mana mkitaka kuhama msisahau kuchukua na watto zetu tulozaa na dada zenu,muwabebe nao mkawalee

Kwanini tusije kwani zile kambi za kijeshi mlivyojazana pale mnafanya nini?

Msijali watoto wetu wote tutawachukuwa mpaka wale mnaowasukuma uvunguni mlio na mashaka nao. Kama mnaona shida tunazowaletea kula ice cream njooni Malindi tutawapa cone mlambe. Na sisi sio kama nyinyi wale akina Dula Masai pale mji mkongwe hawatuwafukuzi tumewazoea wanafanya kazi nzuri kutuvutia watalii si unajuwa Italians kwa mini kabang 071 teh teh.
 
Kwanini tusije kwani zile kambi za kijeshi mlivyojazana pale mnafanya nini?

Msijali watoto wetu wote tutawachukuwa mpaka wale mnaowasukuma uvunguni mlio na mashaka nao. Kama mnaona shida tunazowaletea kula ice cream njooni Malindi tutawapa cone mlambe. Na sisi sio kama nyinyi wale akina Dula Masai pale mji mkongwe hawatuwafukuzi tumewazoea wanafanya kazi nzuri kutuvutia watalii si unajuwa Italians kwa mini kabang 071 teh teh.

Kwanza ww si m znz ni mmalawi ww kama rais wako karume,umehamia tu ww hapo kisha ukajiita mtanzania,chunguza asil yako vzur ww
 
Ndugu na majirani zetu Waunguja na Wapemba ninawasalimu Asalaam Alehykum,
Baada ya salamu ndugu zangu ningependa kuwataarifu kwamba tunashukuru sana kwa juhudi zenu zilizopelekea sisi kuamka na kudai Tanganyika yetu.Hakika nyinyi ni mashujaa wetu.

Hivyo basi jirani zetu kama walivyo Kenya na Uganda tunawaomba msifikirie chochote kuhusu Muungano wa serikali tatu au wa mkataba baina yetu ila kama mtapenda tukutane kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki.Mwisho ninamalizia kwa kusema akufukuzae hakwambii toka.Ujumbe mmeupata.Ahsanteni.Alamsik.cc maalim Seif
umeeleweka mkuu
 
Last edited by a moderator:
Kwanza ww si m znz ni mmalawi ww kama rais wako karume,umehamia tu ww hapo kisha ukajiita mtanzania,chunguza asil yako vzur ww

Mimi mimi si mtanzania hapo umepatia sana, mimi ni Mzanzibari kuliko wewe mkimbizi wa Burundi unasubiri operation Kimbunga badala ya kwenda kwenu unajiita Mtanzania nchi iliyokuwa ni ya Kusadikika? Nenda kwenu ukalime mawese!
 
Back
Top Bottom