twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Ndugu na majirani zetu Waunguja na Wapemba ninawasalimu Asalaam Alehykum,
Baada ya salamu ndugu zangu ningependa kuwataarifu kwamba tunashukuru sana kwa juhudi zenu zilizopelekea sisi kuamka na kudai Tanganyika yetu.Hakika nyinyi ni mashujaa wetu.
Hivyo basi jirani zetu kama walivyo Kenya na Uganda tunawaomba msifikirie chochote kuhusu Muungano wa serikali tatu au wa mkataba baina yetu ila kama mtapenda tukutane kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki.Mwisho ninamalizia kwa kusema akufukuzae hakwambii toka.Ujumbe mmeupata.Ahsanteni.Alamsik.cc maalim Seif
Baada ya salamu ndugu zangu ningependa kuwataarifu kwamba tunashukuru sana kwa juhudi zenu zilizopelekea sisi kuamka na kudai Tanganyika yetu.Hakika nyinyi ni mashujaa wetu.
Hivyo basi jirani zetu kama walivyo Kenya na Uganda tunawaomba msifikirie chochote kuhusu Muungano wa serikali tatu au wa mkataba baina yetu ila kama mtapenda tukutane kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki.Mwisho ninamalizia kwa kusema akufukuzae hakwambii toka.Ujumbe mmeupata.Ahsanteni.Alamsik.cc maalim Seif
Last edited by a moderator: