Sala kama hizi husikilizwa kwa umakini mkubwa

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
4808386_fnj_jpg3e6bdcfbbba1af3bd6dc0e7f8270cc05
 
Ako kanaonekana ni kakibaka kazoefu..
Mkuu, sidhani kama mtoto kama huyu aweza kushindikana kunyooshwa na jamii badala yake aonekane kama mhalifu sugu.
Kinachokosekana ni utashi katika serikali na jamii katika kuwajengea mazingira salama na matokeo yake serikali na jamii imeandaa mazingira ya uhalifu na mwishowe kugeuka wauaji...km panya road
 
Back
Top Bottom