njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Hii tetesi kwangu naikubali asilimia 100, hapa kati jamaa aligeuka kero anafanya vitu hadi unajiuliza jamaa vipi tena, amekuwaje?
Basi kila la heri POS maana kesharejea jana, I hope wazee wa Senegal wako vizuri na kama aliyemchezea uchawi yuko hapo klabuni basi akipewa namba afanye la maana siyo kurukaruka kama yuko nje ya club basi sawa kila la kheri.
*Wengi wanahisi ni Sakho kila nikijaribu kufikiria wa utopolo akili haiji haraka labda Aucho, ingawa I don't think so. All in all ukweli unabaki kwamba hizi teams kuna wachezaji huwa wanakuja kumalizwa kabisa Tanzania, watu wakipata hata nguo yenye jasho lako umekwisha.
Nakumbuka nilisikia kisa cha Balinya kumkaba Ngasa na kumchapa vibao kadhaa kwa uchungu huku akilia na kumuuliza kwa nini unaniafanyia hivi ndugu yangu? Balinya alipopotelea leo hakujulikani kabisa.
Shikhalo yeye kila siku ilikuwa kulia na Metacha Mnata hadi Mwenyekiti Msolla akasema waziwazi kwamba mnata ni jau hapo ndipo ubishi wa Jemedari Said na Yanga ulipoanzia kwamba meneja kijana wako anatuhumiwa kuwa wizard huku.
Basi kila la heri POS maana kesharejea jana, I hope wazee wa Senegal wako vizuri na kama aliyemchezea uchawi yuko hapo klabuni basi akipewa namba afanye la maana siyo kurukaruka kama yuko nje ya club basi sawa kila la kheri.
*Wengi wanahisi ni Sakho kila nikijaribu kufikiria wa utopolo akili haiji haraka labda Aucho, ingawa I don't think so. All in all ukweli unabaki kwamba hizi teams kuna wachezaji huwa wanakuja kumalizwa kabisa Tanzania, watu wakipata hata nguo yenye jasho lako umekwisha.
Nakumbuka nilisikia kisa cha Balinya kumkaba Ngasa na kumchapa vibao kadhaa kwa uchungu huku akilia na kumuuliza kwa nini unaniafanyia hivi ndugu yangu? Balinya alipopotelea leo hakujulikani kabisa.
Shikhalo yeye kila siku ilikuwa kulia na Metacha Mnata hadi Mwenyekiti Msolla akasema waziwazi kwamba mnata ni jau hapo ndipo ubishi wa Jemedari Said na Yanga ulipoanzia kwamba meneja kijana wako anatuhumiwa kuwa wizard huku.