Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,073
- 34,844
Stakabadhi zenyewe alizotoa Kinana ni fake. Huu si mwisho wa suala hili.
Hizo sio stakabadhi bali ni hati za madai. CCM bado hawajathibitisha kuwa wamelipa hizo fedha kwa kuonyesha risiti ya pesa kupokelewa.
Dah, kumbe mtu yeyote anaweza kuikodi ndege ya rais? Incredible, basi si waipeleke tours? Haya maelezo kwa mwenye kufikiri vizuri hayaingii akilini!
Stakabadhi zenyewe alizotoa Kinana ni fake. Huu si mwisho wa suala hili.
Pia TFGA nao wathibitishe kuwa wamelipa VAT na TRA nao wathibitishe kuwa kodi yetu imelipwa!!!
Wewe uliziona?
Stakabadhi zenyewe alizotoa Kinana ni fake. Huu si mwisho wa suala hili.
CCM inaongozwa na watu waliopinda akili kama kinana, anaita waandishi wa habari kuwaonyesha hati ya madai (invoice) kwa kuvimbisha mashavu kuwa ccm wamelipa pesa kwa huduma ya kukodisha ndege. Kuna haja ya vongozi vilaza kama hawa wapewe darasa la kutofautisha stababathi na hati ya madai.
Kinana hakikisha pesa za serikali zinalipwa mapema, mtalinyonga hili shirika dogo kama mlivyofanya ATC
Wee September, acha kudandia TGV kwa mbele. Utapata mimba bureee.
Hizi mbona ziliwekwa hapa JF na kwa Michuzi? Kama hujui wee uliza kuliko kuanza kuonyesha ushamba wako hapa.