hauamini? cdm ni chaguo la wengi we mamluki.
KAMA ULIYOANDIKA MNA UHAKIKA NAYO HONGERENI SANA. Ila , 2015 MSIJE MKASHANGAA GAMBA LINARUDI TENA IKULU. CCM 2015-USHINDI NI LAZIMA!Worry not, kuna mambo kadha wa kadha yamebadilika kuanzia wakati ule mpaka sasa.
Mosi, Imani ya wananchi kwa serikali ya ccm imepungua sasa kuliko wakati ule. Waliposema CUF ni chama cha kidini na kigaidi ccm walikuwa wanaaminika na hivyo wananchi wakaamini kwamba CUF ni mbaya. Not now any more.
Pili, Chadema kimkakati iko vizuri zaidi na tumejifunza kutokana na makosa ya CUF tuko vizuri kujibu tuhuma za ccm.
Tatu, watumishi wa Umma kwenye kila ngazi sasa hawako tayari kuburutwa na serikali. Mfano, si polisi wote utawatuma na wakakubali kufanya uhalifu wo wote dhidi ya Chadema kama wakati ule. Siku hizi wana hoji na wanajua watakuja kuwajibishwa mbele ya safari.
Nashukuru kwamba umejua hii ni movie ya ukweli - it about life or death.
Ni dawa nzuri sana... Maana katika hali ya kawaida, kama siri yako unaisikia nje na hata hujui imetokaje, basi kinachofuata unanyamaza maana huwi na uhakika hicho unachowaza kama bado hakijaingia mtaani kabla ya utekelezajiNdugu zangu hii movie ni ya kweli
sasa dawa yao ni moja tu
Kila wanalopanga kesho walikute mtaani tena peupeee. Ndugu wanamapinduzi mlioko ndani hakikisheni kila siri inawekwa mezani na ndipo huyu shetani ccm atakuwa ameaibika.
hatulali mpaka kieleweke.
Ndugu yangu ya kijijini ndio acha kabisa, usione watu wamejazana ukafikiri ni wapenzi wa chama, hao wanakuja kushangalia helkopta. Ni rahisi sana kubadili mawazo ya watu wanao ishi mjini lakini wa kijijini sio rahisi. Bila shaka wewe huna ndugu kijijini ndio maana unasema haya. Watanzania bado wanachagua mtu kutokana wanavyo shauriwa na mwenyekiti wa kijiji. Usimshangae mbunge wa ccm anae wapigia magoti wapiga kura ndugu yangu, hayo ndio mambo yanayo takiwa kijijini.
za mchana wanajanvi GT jana niliomba radhi kwa kutokuweza kuleta data ambazo Mkuu Awenda aliniomba nitupie huku na yenyewe ni kama hivi :nipeni muda tu! Nitairusha hapa!
Yetu Macho
Daudi Balali ‏@daudibalali CCM si chama kikubwa tena. Shukrani kwa CPC China na Inteligensia iliyotukuka. Hizo mbili ndizo nguzo pekee za CCM kuendelea kushika dola.
Mkuu Aweda,...
B) Mbinu ya tatu ilikuwa ni kuibatiza CCM au kuibadilisha CCM kwa kuanzisha chama kipya.
Wakati ule nilipoleta habari ya mtonyaji kwamba kuna mkakati wa ndani kabisa wa kuibadilisha CCM au kuibatiza CCM watu hawakunielewa hata kidogo. Wiki iliyopita kulikuwa na taarifa ktk mitandao ya kijamii iliyomnukuu msajiliwa vyama akisema kwamba, ofisi yake inaandaa mswada wa sheria wa kuruhusu vyama kuungana. Baada ya tamko hilo nadhani sasa ninaeleweka zaidi kuliko wakati ule nilipokuwa naleta taarifa za mtonyaji.
Ikumbukwe, huko nyuma serikali ya CCM ndo iliyokwamisha sheria ya vyama kuungana. Sasa, iweje sheria hiyo ikaletwa na serikali ile ile ya CCM? Huu ni uthibitisho wa taarifa za mtonyaji wangu ya kuibatiza CCM kwa jina jingine au kuanzisha muungano na chama kingine ili jina CCM lililochokwa libadilishwe.
Huu ni mkakati unafanywa na viongozi wa CCM na idara kwa siri sana kwa muda mrefu.
Swali ni Je, watafanikiwa kuizuia CHADEMA kuingia Ikulu 2015. Jibu langu ni Hapana – hawataweza. LET US WAIT AND SEE.
Kwani sasahivi kuna ufanisi gani katika wizara zilizovunjwavunjwa na kuwa nyingi kisha kupewa mawaziri ambao wameshindwa kuziendesha zaidi zinakula tu kodi za wananchi kwa kuongeza bajeti za uendeshaji? Mi sioni tabu mana kichwa kimoja cha chadema kinaweza kuongoza wizara zaidi ya tatu! Mfano, Sayansi na elimu ya juu inaungana MoEVT+utamaduni na michezo. Alafu kwa utendaji kazi wa John Mnyika hata akimuunganishia wizara tano za sasa atazinyoosha tu! Wakati wa chama tawala kila wakijitahid kugawa wizara lakini bado mawaziri wao wana-underperform tu! Hivyo wingi si hoja bali uwezo.Hizi hadhithi mnazo leta ni za kutafuta huruma kutoka kwa wananchi, siasa hizo zilisha pitwa na wakati, wapiga kura hawatazami hayo tena wao wanatazama msimamo wa chama. Kwa jinsi mlivyo leo mkipewa serikali basi kuna wabunge watapewa wizara tatu kutokama na ufinyu wa viongozi. Chama kina wasomi wa kuhesabu na vijana wasio na utaalamu wowote.