Sakata la Lissu "Handle with care"

Kwetu kuna methali inayosema, baadhi ya matukio ni nzi katoka kwenye kinyesi.ikimaanisha kuwa nyuma ya pazia kuna jambo kubwa zaidi linapangiliwa.Siasa hizi za kujengeana fitina ni za kitambo,na kwa bahati mbaya,kutokana na upofu wa kutaka madaraka hawa wapanga mikakati hawasemi mema yanayofanywa na Serikali.watu wote wenye mapenzi mema na nchi yetu, tunaona jitihada KUBWA NA YA DHATI inayofanywa na JPM, hakuna masika yasiyokuwa na umbu.hiyo ndo fact.
 
Watanzania wengi tumeishamchagua rais.
Mkuu kwani kura zimeshahakikiwa na WAtanzania wengi hadi useme watanzania Wengi wamemchagua? Kumbuka Tume si huru imechaguliwa na mwenye nchi kama Shamba la Bwana Kheri
 
Haya maoni niliyatoa mwaka jana Aug.5.
Lengo lingine "nafikiri" ni mkakati wa kumuandaa mtu atakayeaminiwa na kuonewa huruma na jamii (Mandela style) ili labda baadaye aje kugombea cheo kikubwa ndani au nje ya chama.

Haya ni mawazo yangu binafsi.
 
Mawazo haya bado yanaishi, bado namuona Lissu kama icon fulani itakayokuja kuleta mabadiliko nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…