thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Hata wewe January hupigi jungu moja kwa moja ,unashambulia kwa kuvizia ,usihofu ubatizo kama kweli umekula kodi zetu kupitia nssfNimeona andiko kwenye Gazeti la Tanzanite kuhusiana na mimi kutokomea na shilingi bilioni moja za NSSF.
Niwaondoe wasiwasi watanzania na wananchi wa Bumbuli kuwa hilo gazeti limepewa kazi ya kuhakikisha nachafuka halafu ionekane kwamba sina sifa za kuwa kwenye serikali.
Nilishasema mara nyingi na ninasema leo, nimeshajiandaa kisaikolojia kwa jambo lolote baya linalopangwa dhidi yangu, hao wanaomtuma Musiba wasihangaike kumtuma mtu mjinga.
Waje wenyewe hadharani halafu watajifunza kwanini nimekuwa kimya kwa mda mrefu:
by
Januari Makamba