Wakati ni sasa, sheria ya vyama vya siasa; hutakuwa na sifa ya kugombea endapo utasubiri jina likatwe ndio ukimbilie kwa jirani!Safi sana Musiba..
January, Nape, Bashe na wana Ccm wote wanaopigwa vita wana la kujifunza na wanapaswa kuja na plan.