CHITALICHINU
New Member
- Jan 15, 2013
- 1
- 0
Serikali inajandaa kuwatumia madiwani wa halmashauri mbalimbali ndani ya mkoa wa Mtwara na Lindi ili hao madiwani watoe somo kwa wananchi wakubali gesi ichimbwe na kupelekwa Dar hadi Bagamoyo
Kamanda nakukubali.ni kweli huu ni mwanzo tu,wa Wadangayika kuanza kuelewa haki zao na kudai kutoka kwa Mkoloni mweusi CCM.,,,,niwashauri wana Mtwara na Lindi kwamba kuna usemi ambao hupendwa kutumiwa na kamanda Lema,husemao NI HERI VITA INAYOTAFUTA HAKI KULIKO AMANI INAYO PUMBAZA NA KUZALILISHA UTU WA MWANADAMU..wanamtwara na Lindi,komaeni kisawasawa.mkicheka na Nyani,,,,,,,,,,,,,,!kamuulizeni Nimrod Mkono..,jimboni kwake wamebakiwa tu na Mashimo.siku zote ukombozi huanzia sehemu moja,na kusambaa kwingine! Huu ni mwanzo tu,bado mengi yataibuka ni swala la wakati tu.subirini tu mtaona.hii vita wanamtwara wanapaswa waelewe sio yao peke yao! ni vita ya ukombozi wa rasrimali za watanzania ambazo zimekua zinaliwa na wajanja wachache wa nchi hii waliopo kwenye system! tunaanza na mtwara na inapaswa isambae nchi nzima ili rasrimali za nchi yetu zinufaishe wananchi wa eneo husika, na sehemu ya hilo pato ndio iende serikali kuu. sio kuwaachia mashimo tu huku mali yoote imekwenda kujenga dar-es-salaam!
historia itakuja kuwatambua kwa mchango wao wa kupigania rasrimali za nchi hii! na vilevile wanapaswa waelewe wanayo-sympathy ya nchi nzima katika hili suala! na wanakuwa katika nafasi nzuri kuliko maeneo yote ya nchi yetu kudai hiyo rasrimali iwanufaishe coz hilo ndilo lililokuwa kisingizio cha kutokupeleka maendeleo kusini!
vilevile wanapaswa waelewe kwamba wakiikosa hii opportunity kuipata tena itakuwa ngumu!na nnavyojua kwa ndugu zangu wenye madini ktk kanda ya ziwa hii issue wanaitazama kwa jicho la tatu! na wataitumia hii hii strategy ya kukataa kuchukua madini yao mpaka waelewe kwanza wao watapata nini when new opportunity comes! hii migodi iliyopo sasa it was a mistake that should not be repeated again!
serikali inajandaa kuwatumia madiwani wa halmashauri mbalimbali ndani ya mkoa wa mtwara na lindi ili hao madiwani watoe somo kwa wananchi wakubali gesi ichimbwe na kupelekwa dar hadi bagamoyo
Wanataka tu kuleta uhasama kati ya hao madiwani na wananchi wenye hasira...Wanamtwara wako tayari, hawaogopi vitu vyenye ncha kali wala milipuko ya kutupwa kwa mkono, wametangaza kuwa wako tayari wauawe mkoa mzima...Mme wanyima elimu, reli mling'oa, mkawafanya wachuuzi kisha mkawabatiza jina la wamachinga...kumbe mungu anampango wake, kawapa rasilima na utajiri mwingi then mnataka kuwachukulia rasilimali zao ili waendelee kuwa wamachinga maana umatonya wao hawawezi...
...Wanamtwa kazeni buti...Dua zote njema twawaombea...Inshaa'allah Mtashinda...
mkuu swala la gesi ni mkataba wa mkulu na wachina,hii ni kutokana na mwanae aliyeshikwa na unga china ilibidi anyongwe,mkulu akakimbia toka rwanda na burundi alikokuwa kwenye sherehe za uhuru,kwenda kumwokoa mwanawe,wachina wlikataa mkuu akawambia atawapa mkataba wa kuchukua gesi madini na mikataba mingine,hivi hii gesi ni mwanzo tu,kwa hiyo wanajamvi wanakusini huyu anayetugharimu ni mtoto wa mkulu.tunalipa gharama ya kuachwa asinyongwe.tusikubali watu wa mtwara kuibiwa hii zawadi tulopewa na mungu,aluta continua.hii vita wanamtwara wanapaswa waelewe sio yao peke yao! Ni vita ya ukombozi wa rasrimali za watanzania ambazo zimekua zinaliwa na wajanja wachache wa nchi hii waliopo kwenye system! Tunaanza na mtwara na inapaswa isambae nchi nzima ili rasrimali za nchi yetu zinufaishe wananchi wa eneo husika, na sehemu ya hilo pato ndio iende serikali kuu. Sio kuwaachia mashimo tu huku mali yoote imekwenda kujenga dar-es-salaam!
Historia itakuja kuwatambua kwa mchango wao wa kupigania rasrimali za nchi hii! Na vilevile wanapaswa waelewe wanayo-sympathy ya nchi nzima katika hili suala! Na wanakuwa katika nafasi nzuri kuliko maeneo yote ya nchi yetu kudai hiyo rasrimali iwanufaishe coz hilo ndilo lililokuwa kisingizio cha kutokupeleka maendeleo kusini!
Vilevile wanapaswa waelewe kwamba wakiikosa hii opportunity kuipata tena itakuwa ngumu!na nnavyojua kwa ndugu zangu wenye madini ktk kanda ya ziwa hii issue wanaitazama kwa jicho la tatu! Na wataitumia hii hii strategy ya kukataa kuchukua madini yao mpaka waelewe kwanza wao watapata nini when new opportunity comes! Hii migodi iliyopo sasa it was a mistake that should not be repeated again!