SAKATA LA EASY FINANCE KWA NN WANAENDELEA TOA MIKOPO??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Jana kunajamaa alinipigia kunishtuaa Mpwa unaitaji mkopo wa fasta nilipomweleza wapi akataja hiikampuni

Nkabakinawaza n kweli jamaa wanaendelea NA mikopo..nakama ndio kwann wamekamatwa kwa kuhujumu uchumi huku wakiendelea NA Nazi zao

Msaada pls
 
Back
Top Bottom