Said Mohamed: Hatujaenda mahakamani kuiua CHADEMA, bali kuiimarisha ifanikiwe

Said Mohamed: Hatujaenda mahakamani kuiua CHADEMA, bali kuiimarisha ifanikiwe

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771


Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kukishtaki chama mahakamani kwenda kukiua bali kukiimarisha ili ifanikiwe, na wanaokumbatia na kumtafuta Hamad atoe matamko ndio wana lao jambo ambalo ni kuidhoofisha CHADEMA Zanzibar.

Pia soma > Said Mohamed: Kesi ya mgawanyo wa mali za chama niliyofungua ina baraka za viongozi wa CHADEMA Zanzibar
 
Aliekaribu na huyu. Mwambieni dunia ni mapito tu. Atumie muda wake uliobaki hapa duniani kufanya mema. Aende hijja. Dhulma na propaganda awaachie wasiokuwa waislam. Muislam hasa ramadhani hutakiwi kuipoteza ramadhani yako kwa thamani ndogo ya dunia
 
Back
Top Bottom