Said Arfi na John Shibuda wapo wapi?

Seif al Islam

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
2,156
Reaction score
640
Baada ya kutoswa na ccm huko katavi Arfi alitangaza kukihama chama hicho japo hakutangaza anakokwenda.hadi sasa haifahamiki kama ataenda ACT TANZANIA au ataachana na siasa.

John Shibuda alikimbilia TADEA na baada ha hapo yuo kmya.

Wenye taarifa kuhusu wanasiasa hawa watufahamishe.
 
Unahitaji taarifa zaidi ya hizo ulizonazo? Subiri kampeni utawasikia tu.
 
alafu nilizani hao jamaa wataenda ACT lakini hawajaenda ....wamekufa kisiasa
 
Kuwataja tu tayari weshaupata umaarufu. Let sleeping dogs lie. Hao ndi past stories, wengine wamejiendea kula kiinua mgongo chao
 

Mkuu ukiona manyoya basi ujue keshaliwa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…