Unadhani ninayo umbwa dume sina ila ndio ninayoipenda hasa ile model mpya. unajua wengine tunatoka vijijini kweli sasa hilo hao juu litakuwa la watu wa masaki tu hata njiro haliwezi kufika eti
Unadhani ninayo umbwa dume sina ila ndio ninayoipenda hasa ile model mpya. unajua wengine tunatoka vijijini kweli sasa hilo hao juu litakuwa la watu wa masaki tu hata njiro haliwezi kufika eti
Teh teh teh watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa dubai wanaenjoy maisha kutokana na akili na kuyatumia maarifa kutumia mafuta waliyojaliwa na Mwenyezi Mungu lakini kwa vile sisi tiopewa kila kitu ambavyo kama tungelitumia akili na maarifa kuvitumia tungeishi kama tupo dunia ya kwanza iliyobaki tukacheze tu vigodoro, bao na kungangaa sharubu