Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Hivi karibuni nilitembelea Selous na miongoni mwa mambo niliyojifunza ni lugha inayotumiwa na Tour Guide katika kuwasiliana pale wanapoulizana mahali walipo wanyama Fulani. Kule wanyama hawaitwi kwa majina yao halisi, bali wamewapa majina yao wenyewe ambayo wao kwa wao wanaelewana, nitataja machache na kama kuna mtu anajua zaidi atatujuza:
1. Sharubu-Simba
2. Pembe- Kifaru
3. Sikio- Tembo
4. Shingo-Twiga
5. Doa la Juu-Chui
6. Doa la Chini- Duma
7. Jino- Ngiri
8. Mjusi maji-Mamba
9. Askari-Nyati Jina hili limetokana na wimbo wa Buffalo Soldier wa Bob Marley<o></o>
10. Watu Pori-Nyani<o></o>
11. Endelezeni................<o></o>
<o>
Nilifikia hapa
Mto Rufij ukiuangalia kwa juu
Tumetua Stiglers Air Strip
Mivumo ukiangalia kwa juu
Tent
Niliambiwa kwamba mbuga ya Selous ilikuwa inaitwa Shamba la Bibi, lakini ikabadilishw ana kupewa jimna la huyu Bwana ambaye alifia katika mbuga hiyo miaka ya 50, inasemekana alikuwa mhifadhi wa mbuga hiyo na ndio akapewa heshima hiyo.
Hapa tunapata picnic lunch
</o>
<o> </o><o></o>
1. Sharubu-Simba
2. Pembe- Kifaru
3. Sikio- Tembo
4. Shingo-Twiga
5. Doa la Juu-Chui
6. Doa la Chini- Duma
7. Jino- Ngiri
8. Mjusi maji-Mamba
9. Askari-Nyati Jina hili limetokana na wimbo wa Buffalo Soldier wa Bob Marley<o></o>
10. Watu Pori-Nyani<o></o>
11. Endelezeni................<o></o>
<o>
Nilifikia hapa
Mto Rufij ukiuangalia kwa juu
Tumetua Stiglers Air Strip
Mivumo ukiangalia kwa juu
Tent
Niliambiwa kwamba mbuga ya Selous ilikuwa inaitwa Shamba la Bibi, lakini ikabadilishw ana kupewa jimna la huyu Bwana ambaye alifia katika mbuga hiyo miaka ya 50, inasemekana alikuwa mhifadhi wa mbuga hiyo na ndio akapewa heshima hiyo.
Hapa tunapata picnic lunch
</o>
<o> </o><o></o>