Safari yangu Selous - Picha na Misamiati niliyojifunza.

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Hivi karibuni nilitembelea Selous na miongoni mwa mambo niliyojifunza ni lugha inayotumiwa na Tour Guide katika kuwasiliana pale wanapoulizana mahali walipo wanyama Fulani. Kule wanyama hawaitwi kwa majina yao halisi, bali wamewapa majina yao wenyewe ambayo wao kwa wao wanaelewana, nitataja machache na kama kuna mtu anajua zaidi atatujuza:
1. Sharubu-Simba
2. Pembe- Kifaru
3. Sikio- Tembo
4. Shingo-Twiga
5. Doa la Juu-Chui
6. Doa la Chini- Duma
7. Jino- Ngiri
8. Mjusi maji-Mamba
9. Askari-Nyati –Jina hili limetokana na wimbo wa Buffalo Soldier wa Bob Marley<o:p></o:p>
10. Watu Pori-Nyani<o:p></o:p>
11. Endelezeni................<o:p></o:p>
<o:p> DSCF0834.jpg
Nilifikia hapa
DSCF0889.jpg
Mto Rufij ukiuangalia kwa juu
DSCF0888.jpg
Tumetua Stiglers Air Strip
IMG_8700.JPG
Mivumo ukiangalia kwa juu
_CGC5040.jpg

_CGC5365.jpg
Tent
_CGC5025.jpg

_CGC4723.jpg

_CGC4828.jpg

Selous Wildlife Room 002 [1280x768] [800x600].jpg

MalalaSampleEdit029.JPG

Malala08-08191.JPG
DSCF0770.jpg

DSCF0773.jpg

DSCF0814.jpg


DSCF0815.jpg
Niliambiwa kwamba mbuga ya Selous ilikuwa inaitwa Shamba la Bibi, lakini ikabadilishw ana kupewa jimna la huyu Bwana ambaye alifia katika mbuga hiyo miaka ya 50, inasemekana alikuwa mhifadhi wa mbuga hiyo na ndio akapewa heshima hiyo.
DSCF0789.jpg
Hapa tunapata picnic lunch
DSCF0780.jpg



MalalaSampleEdit029.JPG

DSCF0800.jpg
</o:p>

<o:p> </o:p><o:p></o:p>
 
Hongera sana mkuu . Ni watu wachache sana bongo wanaoweza kunyonya burudani kama wewe . Wengi wanaishia kwenye viti virefu.
 
Mkuu mbona umekaa ku u-turn zaidi? lol
Maana huko ndiko watu wanapenda kuhadithia the good times they had!
Hongera lakini, umenifanya na mimi nitamani kwenda...
 
Mbona wewe sikuoni? Hao simba uliwapiga picha ukiwa umbali gani? nakuongezea: Lowassa-mbega weupe
kwenye ndeege hapo mwenye tshirt nyeupe ni mimi....LOL
Aisee, jamaa alisogeza gari mpaka karibu sana na simba hao, niliogopa sana................yaani huwezi amini niliowa jasho mwili mzima
 
Hongera sana mkuu . Ni watu wachache sana bongo wanaoweza kunyonya burudani kama wewe . Wengi wanaishia kwenye viti virefu.
Wakati mwingine unatakiw ujinyime ili uweze kutembelea mbuga zetu za wanyama.............
Unaweza kum-plan mwakani, halafu ukafanya booking na ukijua bei unaanza kuweka hela kwenye kibubu, mpaka zinatimia
 
Gharama zake zikoje mkuu,Mungu akipenda niwapeleke wanangu wakaone Simba live

Selous & Mivumo Flying Package.jpg
Nadhani nitakuwa nimekujibu
Package ina-include, airflight return ticket na full board, Laundry na vinywaji aina zote............whiscky, wine, beer, champagne, nk
 
View attachment 48059
Nadhani nitakuwa nimekujibu
Package ina-include, airflight return ticket na full board, Laundry na vinywaji aina zote............whiscky, wine, beer, champagne, nk
Kama utadrive mwenyewe kwenda kule gharama itapungua, na kwa kupitia matombo Morogoro ni KM
360 na kupitia Rufiji ni KM 300 kwa ku-darive ni kama masaa 8 mpaka 10 na kwa ndege ni dakika 45 tu.
 
Mie nitawasilisha picha za huku ngorongoro crater baada ya vacation, ni pazuri mno! bongo raha jamani....
 
Back
Top Bottom